Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Kuna wanandoa wengi hawapigiani simu kabisa siku nzima
wanakutana jioni nyumbani
na ndoa ni imara tu...
 
Kuna wanandoa wengi hawapigiani simu kabisa siku nzima
wanakutana jioni nyumbani
na ndoa ni imara tu...

Umesema wanakutana jioni still kuna mawasiliano coz they are together at the end wameanza siku pamoja na wamemaliza pamoja hata kama haawaongei in between lkn si sawa siku zinapita bila mawasiliano eti kisa ubize.Unataka kuniambia hali,hajisaidii,ni ubize tuuuu!
 
Hizo distance relationship zitawapa pressure. Kwani hapo ulipo hamna vidume?
 
Umesema wanakutana jioni still kuna mawasiliano coz they are together at the end wameanza siku pamoja na wamemaliza pamoja hata kama haawaongei in between lkn si sawa siku zinapita bila mawasiliano eti kisa ubize.Unataka kuniambia hali,hajisaidii,ni ubize tuuuu!

Hapo mke na mume...mume au mke kasafiri na wanakaa hata wiki bila mawasiliano
na still akirudi ni kama zamani......elewa tu kuna aina ya watu wako hivyo...
na sio kuwa hakupendi
 
apo mke na mume...mume au mke kasafiri na wanakaa hata wiki bila mawasiliano
na still akirudi ni kama zamani......elewa tu kuna aina ya watu wako hivyo...
na sio kuwa hakupendi
Sawa The Boss,hata kama wapo hivo it doesnt make it right,na it sounds like wanandoa waloshibana with passion..naweza kusema pia ni choice ambayo wote wameridhia.Kwa upande wa bi dada hajaridhia na mahusiano ya limits hizo.Penzi changa linatakiwa lipaliliwe.Watu ambaao hata hawajaoana na mawasiliano ndo yanachecheta hivo sidhani ka hata watafikia lengo la ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Mawasiliano ndo nguzo muhim haswa long distance relationship bila mawasiliano hamfikii lengo me naona ni heri ukawa wazi kwake walau akupigie japo Mara moja

Ntafanya hvyo
 
Hahahaaaaa,vidume vipo ila nimempenda wa mbali


Hardly do long distance relationships work. Huyo ana yake huko aliko, tumekuwa na relationships za hivyo, tunajua. Ongea nae, kama haelekei vua hilo gamba uvae gwanda lingine
 
tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA

Mapenzi ni two way traffic kwanini asubiri yeye tu atafutwe?aiseee kweli wanaume wapo tofauti!!
 
Mapenzi ni two way traffic kwanini asubiri yeye tu atafutwe?aiseee kweli wanaume wapo tofauti!!

my dear
kama umeshafanya kila namna(according to mleta mada) na hutaki kumpoteza mwanaume wako hii ndo solution ya mqisho kusubiri yeye
 
Back
Top Bottom