- Thread starter
- #201
Rafiki embu jiondoe kwenye huo utumwa haraka kabla hujawa kichaa. Mim wangu alikuwa hivyo hivyo mpaka nikaw nakosa raha, eeh kama binadamu nikachoka na mm nikawa simtafuti siku hizi yey ndo ananipigia cmu na haishi kuniuliza nimepatw na tatz gn mbna cmtafut ten kam zaman.Mrembo kama hutaki kufa kabla ya wakati bc fanya dawa ya moto kuwa moto.
Nimeamua kukaa zangu kmya 2