Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Rafiki embu jiondoe kwenye huo utumwa haraka kabla hujawa kichaa. Mim wangu alikuwa hivyo hivyo mpaka nikaw nakosa raha, eeh kama binadamu nikachoka na mm nikawa simtafuti siku hizi yey ndo ananipigia cmu na haishi kuniuliza nimepatw na tatz gn mbna cmtafut ten kam zaman.Mrembo kama hutaki kufa kabla ya wakati bc fanya dawa ya moto kuwa moto.

Nimeamua kukaa zangu kmya 2
 
tafuta asiye busy yule anayeshinda Om kama golikeeper au anaye jibu text mda wote'! utapata raaaha!!!
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

Achana na hayo mapenzi ya utumwa...mpnz wako anakunyanyasa kimapenzi anajua unampenda na huwezi mwacha hivyo anakuwa busy na anaowatafuta awavue pichu...mimi ni wakiumeni hayo mapenzi nimeyapitia...ukimpenda mtu hata akipibu tuu unasikia faraja na kumpigia fasta..sembuse weye unaye mpigia na kumtumia sms but hajibu...zakuambiwa changanya na zako...
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

mna muda gani katika mahusiano yenu labda nianzie hapo na mlishawahi kukwaruzana na mlimalizana kwa staili gani na je kuna rafiki yako au ndugu anayemfahamu huyo mwenzio?? ukinijibu hayo nitakupa ushauri mzuri...!!!
 
mna muda gani katika mahusiano yenu labda nianzie hapo na mlishawahi kukwaruzana na mlimalizana kwa staili gani na je kuna rafiki yako au ndugu anayemfahamu huyo mwenzio?? ukinijibu hayo nitakupa ushauri mzuri...!!!

Tuna kama miezi sita,kuna rafik yangu mmoja ndio anamfahamu ingawa hawajawah kumt tangu tumemaliza advance yan wote watatu tulsoma xcul moja
 
hahah.. yan I hv the same experience na hii thread...
tupo mikoa tofauti.. baada ya kumlalamikia sana dat sipend hyo tabia but anaendelea, jana nilchofanya ni kukaa kimya siku nzima yaani 24 hrs. lakin alituma meseji zaid ya 50 sikujib hata moja.. leo asubuh nkamwambia nilkua bize kama anavyojib yy.. hakupenda my reaction. nkajua ooh kumbe mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchngu.
my take is: sikushauri umchunie as I dd (unaeza achika shosti ) I was ready for tht tho) but mueleze aelewe umuhim wa kuwasiliana especially kwa watu wenye long distance r.ship.
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

Ujue kuna mwenzio. No doubt about it...Chunguza.
I went through the same na mwisho wa siku tukajikuta tupo 3 tunaozinguliwa na mwanaume yule. Mi niliamua kukaa pembeni na kuwaachia league wengine, sijui nini kiliendelea maana tangu 2005 nilivyoamua kusema enough is enough sijawahi hata kuongea nae wala kuonana nae yule mwanaume, licha ya yeye kufanya juhudi kutaka kuniona na kuendeleza mawasiliano nami...
Tafakari, chukua hatua.
 
hahah.. yan I hv the same experience na hii thread...
tupo mikoa tofauti.. baada ya kumlalamikia sana dat sipend hyo tabia but anaendelea, jana nilchofanya ni kukaa kimya siku nzima yaani 24 hrs. lakin alituma meseji zaid ya 50 sikujib hata moja.. leo asubuh nkamwambia nilkua bize kama anavyojib yy.. hakupenda my reaction. nkajua ooh kumbe mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchngu.
my take is: sikushauri umchunie as I dd (unaeza achika shosti ) I was ready for tht tho) but mueleze aelewe umuhim wa kuwasiliana especially kwa watu wenye long distance r.ship.

Asante my dia,amentafuta kumbe alipata matatizo so kila kitu kiko poa
 
Wana JF asanteni kwa ushauri wenu na mawazo yenu,jamaa kancheck now tupo poa
 
yan yuko bze kias kwamba yy hali chakula???toka anatoka nyumban.asbh bze tuuu... mhh shoga mulika mwizi......
 
Tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA

yan ww unafaa kua somo yang....ch kujikondesha nn mmekutana nyote mna meno selasin nje yt mbl??? mfyuu
 
Tuna kama miezi sita,kuna rafik yangu mmoja ndio anamfahamu ingawa hawajawah kumt tangu tumemaliza advance yan wote watatu tulsoma xcul moja

sasa ushauri wangu ni huu jaribu kwenda nae kama anavyotaka we mtafute kadri unavyoweza na kutokupokea kwake simu isikuumize sana kichwa ipo siku utafahamu ukweli kuhusu ukimya wake namaanisha jiandae kwa mawili mapenzi kuzidi kudumu au kuvunjika jumla...!!!!
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

njoo kwangu
 
Atakuwa muda wote amelewa nahis. Endelea kumpenda ingawa love can stop and life can continue
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

mvumlie atajirekebisha
 
Back
Top Bottom