Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Kama inashindikana baada ya kazi hapo ni shida. Labda jaribu kuacha wala usipige simu uone kama yeye atakukumbuka baada y a muda gani.

Kwa harakaharaka huyo brother ham-feel sana huyu dada,angeona kimya hata kwa masaa tu angetext km si kubeep.
 
Kwa harakaharaka huyo brother ham-feel sana huyu dada,angeona kimya hata kwa masaa tu angetext km si kubeep.

Mi naona hata yeye anaweza kuwa anaongeza chumvi. Kama ni vile naye akae atulie asubiri kupigiwa.
 
Akitokea mwanaume akamjali huyu na kumuonyesha thamani yake kama mpenzi na hatimaye jamaa kupigwa chini. Hakawii kuja hapa kuanza kulalama mwanamke wangu kanipiga chini nilimpenda sana yule! Baadhi ya Wanaume ndivyo walivyo hawajui thamani ya mrembo waliyekuwa naye mpaka wamempoteza ndiyo wanaanza kulialia na kuweweseka.

Hata kama watu wako busy bana mtatafuta njia za kuwasiliana coz sio kitu kisichowezekana,suluhu ipo na jamaa lazima amjali mwanamke wake,kazi ipo tu na itakuwepo always,haimaanishi u should'nt take care of other responsibilities if your working.
 
Mi naona hata yeye anaweza kuwa anaongeza chumvi. Kama ni vile naye akae atulie asubiri kupigiwa.

Mmh labda,lakini vijana wa siku hizi hawa hawasemi kuwa wewe basi ila matendo yao bwana? Avute subira aone kijana atamcheck baada ya muda gani
 
Akitokea mwanaume akamjali huyu na kumuonyesha thamani yake kama mpenzi na hatimaye jamaa kupigwa chini. Hakawii kuja hapa kuanza kulalama mwanamke wangu kanipiga chini nilimpenda sana yule! Baadhi ya Wanaume ndivyo walivyo hawajui thamani ya mrembo waliyekuwa naye mpaka wamempoteza ndiyo wanaanza kulialia na kuweweseka.

Kabisa watu wanachezea shillingi chooni sijui kwanini inakuwa hivi mtu akipendwa anaringa!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yani naumiaje leo siku inapita hvhv

Nimesoma comments zako hadi kufikia hapa, what I can say is that wewe ni mchepuko wake, hana future na wewe zaidi ya kukutumia anapokuhitaji baasi, fanya utafiti wako but you will realize what I'm saying here
 
Tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA

Acha kumdanganya mwenzio c ajabu wewe ata wa kuzugia hauna au unao daiwaka afu unajifanya kumpeleka chaka mwenzako...!
 
Tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA
Safii sanaaa, wazo zuri,mimi mume wangu pia yuko busy sn,alishaniambia kabisa simu ni lunch time au jioni ndo naweza mpigia,nilifuata anavyotaka na misha yanaenda japo mwanzoni ilinisumbua kidogo.
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

yaan hata awe busy kiasi gani hawezi ku delgate mtu aende reception kwa niaba yake. Unaona hata raisi analindwa na kufanyiwa vitu almost vyote ila ikifika wakati wa kwenda reception lazima aende yeye.
:
mim huo ujinga mwanaume anadanganya eti yuko busy nishaukataa. Kama yuko busy nani anaenda haja kwa niaba yake? Sasa huo mda anashindwa kukutumia hata text? Je haendagi lunch? Hana break yeyote?

Ebu wanaume acheni izo eti niko busy.??? Busy my foot???

Dada stuka kuna jambo ambalo hujajua na ninachokiwazo kina ukweli ndani yake trust utarudi hapa kuomba ushauri.
 
Wrong
kuna watu hawapendi tu kupiga simu
wako hivyo....mimi mmojawapo...
i hardly call anyone.....sms zaidi....nikipiga simu ujue ni 'work related'

hapa umesema ukweli. Ila kiukweli mm spendi mtu anaetuma mi sms mingi kuna wakati unamiss sauti ya mtu, ila yeye anakuwa ngumu kupiga. Anyway i know why.
 
Wrong usiwe quick to judge
zipo kazi ni so stressful na usikute mtu anaingia alfajiri na kutoka usiku
na mda mwingi ana weka simu mbali...
na akishika simu kuna meengi tu ya kumsahaulisha...

mpaka mtu anakuja hapa alishachoka sooo acha kumtetea. Kazi gan mpenzi wake ambazo hajui? Ni kwamba ana mchepuko umemganda bas.
 
Akitokea mwanaume akamjali huyu na kumuonyesha thamani yake kama mpenzi na hatimaye jamaa kupigwa chini. Hakawii kuja hapa kuanza kulalama mwanamke wangu kanipiga chini nilimpenda sana yule! Baadhi ya Wanaume ndivyo walivyo hawajui thamani ya mrembo waliyekuwa naye mpaka wamempoteza ndiyo wanaanza kulialia na kuweweseka.

.......Well said bro, Wanaume wachache sana wanaeoelewa thamani ya mwanamke alienae kwa wakati huo. Mimi nampenda mno Mrs. majorbuyoya na huwa simpi nafasi ya kujuta kuwa na mimi kama mume.

Daah, wadada wenye Wanaume wasiojielewa wana kazi na Mungu awasaidie sana.
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani
Dada Naomba umuelewe huyo mwenzio japo siwezi kumsemea
lakini niliwahi kufanya kazi ofisi moja ambayo mkifika simu
zote mnafungia changing room,mtu unalazimika kuiacha kwenye vibration au silent mode
ili ukija ukute mis-calls uwapigie waliokupigia.

Kuna ofisi ninakofanya kazi sasa hivi
simu unalazimika kuiacha ofisini endapo utaenda field
kwa ajili ya mambo ya kiusalama,sasa kama mtu wako
ana kazi ya jinsi hiyo,unaweza kumwelewa vibaya buuure.

Kaa naye mzungumze changamoto hizo.
mahusiano bila kazi napo ni kizungumkuti.
 
Hongera zako kwa kujitambua Mkuu na kuithamini LULU uliyobahatika kuwa nayo maisha mwako na kumfanya kutokujuta kuwa nawe kama mumewe.



.......Well said bro, Wanaume wachache sana wanaeoelewa thamani ya mwanamke alienae kwa wakati huo. Mimi nampenda mno Mrs. majorbuyoya na huwa simpi nafasi ya kujuta kuwa na mimi kama mume.

Daah, wadada wenye Wanaume wasiojielewa wana kazi na Mungu awasaidie sana.
 
Last edited by a moderator:
wanaume wengi wapo hivyo wala sishangai, tena anazidisha kama umeshamuonyesha huwezi ishi bila yeye basi ndo anatobolea msumari hapohapo kukufanya umlilie.
Ia niuavyo mwanaume anayekupenda kwa dhati haamki wala halali bila kukujulia hali.kwanza msg yako ataipa priorite kuliko msg zote
 
Back
Top Bottom