Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

Unanitania au?Mawasiliano kwenye mahusiano ni tamthilia?mi sioni uromantic wowote anaotaka mleta uzi zaidi ya mawasiliano bora na mwenzi wake nina rafiki tu ambae yuko bizee kweli kweli lakini ananisabahi asubuhi na kunwish goodnight na ni rafiki tu itakuwa kwenye mahusiano.Usijitafutie excuses cause ur a lousy communicator.

Huyo rafiki huyo! Atakula kichwa siku si nyingi, kuna mwanaume wa kupoteza muda kukwambia gud night gud morning bila kuwa mtaka chochote!
Umeona bibie anavyolalamika kuwa ni wake na simu message hapati....
Nyie wadada na "Just Friends" wenu nyie!
 
Wrong
kuna watu hawapendi tu kupiga simu
wako hivyo....mimi mmojawapo...
i hardly call anyone.....sms zaidi....nikipiga simu ujue ni 'work related'


Hii inafanya mtu ajisikie vby akiwa na wewe upo busy kucall na kureceive call ila mpnz wako hata kupiga simu tuu huwez unasema your not into call
 
Ninamahusiano ya kimapenzi na mwanaume yupo busy balaa, mwanaume ni muajiriwa na mimi pia ni muajiriwa ingawa tunaishi mikoa tofauti. Kiukweli kutoka ndani ya moyo wangu nampenda sana huyu mwanaume, tatizo mwanaume yupoj busy unaweza ukatuma text asikujibu sometime simu unapiga haipokelewi.

Ukimpa hewani anasema alikuwa umetingwa,huwa sipendi kumuhisi vibaya.Hivi wanaume wote wapo hivi au ni huyu wangu? Wakati naomba nipate moyo wa uvumilivu ila kuna time nakosa uvumilivu.

Naomba mnishauri jamani

Huenda yuko busy rombo
 
Hakunaga kitu cha kusema mtu anaweza kuwa busy hadi mawasiliano yakawa hafifu kwa ampendaye, kila kitu kina nafasi yake, ni kusudi na mazoea mliyonayo ktk hayo mahusiano yenu, ukitaka kuthibitisha hilo kumbuka mwanzoni kabisa wakati mnaanza hayo mapenzi mawasiliano yenu yalikuwaje! Mapenzi ya mbali ni magumu mno, na kama umri wako unazidi kuyoyoma unaweza ukajikuta mnapotezeana mda hafu mwisho wa siku ukaja kuyachukia mapenzi. Fimbo ya mbali haiui nyoka, fanyeni utaratibu muwe karibu kwa namna yoyote kama mna malengo ya kuwa pamoja.
 
Wrong usiwe quick to judge
zipo kazi ni so stressful na usikute mtu anaingia alfajiri na kutoka usiku
na mda mwingi ana weka simu mbali...
na akishika simu kuna meengi tu ya kumsahaulisha...

Ni kweli Mkuu, mimi nikianza kazi huwa simu naweka mbali. Lakinh huu ubusy umezidi, pamoja na kuwa busy mtu wangu lazima nimcall mchana na jioni/usiku baada ya kazi.
 
Najua sio muda wote wa mapenz ila kuna tme huwa namtxt kumuulza ktu hajibu nkiona kmya sana huwa napga hapokei,najua yupo busy na kazi ila mtu c anakuta mcd call anatakiwa anitafute ila y anakaa kimya.Ila nachompendea ni mwepesi kujua kuwa amekosea,thankx kwa ushauri wako mpendwa

Kubaliana naye ni wakati gani uwe unampigia. Akishindwa kukujibu hapo basi ujue juna tatizo.
 
Swtybb

Hata awe busy kiasi gani kama anakupenda atatengeneza muda kwaajili yako.Hakuna ubize unaouongelea kwenye mapenzi!

Hiyo inawezekana kabisa. kuna mtu ofisini akiingia hata muda wa kunywa chai ni shida. vyema waongee wakubakubaliane muda mzuri wa kuongea kwa uhuru.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo inawezekana kabisa. kuna mtu ofisini akiingia hata muda wa kunywa chai ni shida. vyema waongee wakubakubaliane muda mzuri wa kuongea kwa uhuru.

Yani naumiaje leo siku inapita hvhv
 
Hahahahahaha wewe ni dhambi mwambie ampate atakaye mpenda aolewe ndio wafanye jinsia mbili tofauti

Hii ndo maana unasikia mwanamke anataka mwanaume mwenye kazi nzuri na mara nyingi kazi nzuri inaambatana na ubusy kama huu. Mbali na hapo kama anataka kushinda anaongea na simu amtafute mario.Inaweza mume akawa amamkwepa maana wengine wakianza kuongea ndo hawataki kumaliza. Hata kama ni sms yeye atakalia hizo. kwahiyo wakati mwingine kama yuko busy anaweza kuwa anaminya aweze kudanya kazi. Huyo mwanamke bila hiyo kazi nzuri naye hatampenda.
 
Kama inashindikana baada ya kazi hapo ni shida. Labda jaribu kuacha wala usipige simu uone kama yeye atakukumbuka baada y a muda gani.
 
Tatizo unamuonesha unampenda sana
HIVI WANAUME HUWAJUI

just fata ratiba yake
atakopopiga pokea
akituma msg jibu
akikaa kimya NA WEWE KAA mmekutana ukubwani kila mtu kalelewa kwao huko na tabia ni tofauti
so kama unampenda fata ratiba yake yeye
CHUKUA HILI WAZO LITAKUSAIDIA
fata=Fuata.
 
Back
Top Bottom