Mwanaume unasemaje 'Happy birthday to me'?

Mwanaume unasemaje 'Happy birthday to me'?

Ila wanaume tuna misimamo yetu...Kuna mwengine atasema haturuhusiwi kutumia emoji mwengine haturuhusiwi kula chipsi daah

Ila yote kwa yote Sheria zisivunjwe tuendelee kukaza
Watu wasio na shughuli ambao maisha yao yamewashinda wana dalili nyingi sana.

We mtu kajiposti kwa bando lake, birthday yake, raha zake, tatizo liko wapi?

Waachieni watu waishi wanavyotaka, hata haya mambo ya nani mwanamme nani mwanamke siku hizi huwezi kujua mpaka umpime mtu.

So what mtu kajipost birthday yake?

Mtu mwingine anaweza kusema wanaume wanaomfuatilia mbona wambea hivyo?
 
Watu wasio na shughuli ambao maisha yao yamewashinda wana dalili nyingi sana.

We mtu kajiposti kwa bando lake, birthday yake, raha zake, tatizo liko wapi?

Waachieni watu waishi wanavyotaka, hata haya mambo ya nani mwanamme nani mwanamke siku hizi huwezi kujua mpaka umpime mtu.

So what mtu kajipost birthday yake?

Mtu mwingine anaweza kusema wanaume wanaomfuatilia mbona wambea hivyo?
Sure bro , mfano mimi nimeamua nile bata mwanzo mwisho 24hrs watu wanapata sukari, imekaaje hii?
 
Out of topic. Huwa najiuliza maswali sana nikikutana na post/comment ya mwanaume ina hizi emojs (😜🤪)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom