Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Ila si ulisem mapenzi ni kujiendekeza ukuishia hapo ukasema unapenda kuku wa kienyeji vip sasa
Chitak bhna we kakorofi 😂😂😂 ila kuna wanaume aseunakuta linasema ivo ulivobembeleza mi chitaki
😂😂😂😂Mwanaume anaandika
Huhuhu jomonii
Enx
Thatha
Taki
Nk.....😕
😂😂Afu mm ndo nipo bize kubembeleza eeh,,kazi ya mishangazi io aseeeeChitak bhna we kakorofi 😂😂😂 ila kuna wanaume ase
Janaume lingine unakuta limeandika "khaaah!'Au mwanaume anaandika ' mmmh'
Muhehe unajipinda kabisa 😂😂😂Afu mm ndo nipo bize kubembeleza eeh,,kazi ya mishangazi io aseeee
Kunywa pombe nyingi na mimi nikushangaze bwasheeIla si ulisem mapenzi ni kujiendekeza ukuishia hapo ukasema unapenda kuku wa kienyeji vip sasa
😂😂😂😂😂Oooh Mungu tunusuru, na kizazi cha wanaume jenz, nashangaa wanapiga picha wamebetua midomo kama vidada.
Acha basi nitajaribu zile zilikuja now chupa 14kKunywa pombe nyingi na mimi nikushangaze bwashee
ngine hapo watalenga humo humoComplications kuhusu wanaume zinakera sasa, ukiuliza eti ni njia ya kupinga ushoga, mbona ushoga hauhusiani na hivyo vitu. Unabaki kuchoka, Lol
😂😂😂😂😂
Hivi kuna watu wanayo pesa ka sisi wachaga?? Nauliza tu bwashee sio kwa ubaya lakiniAcha basi nitajaribu zile zilikuja now chupa 14k
MekuHakuna ki
ngine hapo watalenga humo humo
Wanyakyusa pesa mbona ipo sema hatuna keleleHivi kuna watu wanayo pesa ka sisi wachaga?? Nauliza tu bwashee sio kwa ubaya lakini
kipaji hiko ujue,,mi kuita yale sweet names siwezi kabisa,sasa yeye aje na huo udwanzi khaah 😂 😂,,nb sio mhehe mi bena bwanMuhehe unajipinda kabisa 😂
Oh oh mtuvumilie ila ndio toleo jipya la wanaumekipaji hiko ujue,,mi kuita yale sweet names siwezi kabisa,sasa yeye aje na huo udwanzi khaah 😂 😂,,nb sio mhehe mi bena bwan
Leo tu ninashinda jf ila naingiza milioni 5 za kitanzania 😅 unajua mnatuchukulia poa sana bwashee.?🤣🤣🤣Wanyakyusa pesa mbona ipo sema hatuna kelele
ndo unambie chitaki au atanteee kweliOh oh mtuvumilie ila ndio toleo jipya la wanaume