sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Naandika uzi huu kwasababu nazidi kujionea baadhi ya ndoa hizi za kizazi kipya zimekuwa za ajabu sana, hata ile tafsiri ya kuvuta jiko imeanza kupotea.
Na tuache masikhara, ndoa zetu za kiafrika mwanamke ana majukumu yake na mwanaume ana majukumu yake na kuna majukumu ya wote kwa pamoja, Mwanamke upo nae kwenye uchumba yupo lege lege hatimizi majukumu yake huyo unamuoaje ?
Mwanamke upo nae uchumbani kila siku yeye kuagiza vyakula ilhali stoo imejaa vyakula vya kupika na gesi ni kama yote, mwanaume unajitahidi kwa mafumbo kupika kama ulivyokuwa bachela lakini yeye dish bado halikamati anakusifia "oh unajua kupika" yani hajiongezi, yani akipika ni mpaka kwa kujivuta ama iwe kwajili ya kujiposti status ama instagram ili asifiwe.
Nguo zako nazo ni mvivu kukufulia.
Usafi wa chumba ama nyumba bado unaufanya wewe wakati yeye yupo..
Muda wote huo wewe unatimiza majukumu yako ya kumpa pesa ya matumizi unayoihangaikia asubuhi mpaka jioni na pengine hadi usiku.
Unaoaje sample hii ??
Ewe kijana, unapokuwa na mchumba ukimleta hapo chumbani ama nyumbani kwako, hapo ndio eneo la la kumsahishia mtihani wa mahitaji muhimu ya ndoa, akibaki kukushangaa, akijivuta vuta, yupo bize na simu, huyo tayari ana F sio wa kufunga nae ndoa, fanya nae mambo mengine ila sio wa ndoa.
Na tuache masikhara, ndoa zetu za kiafrika mwanamke ana majukumu yake na mwanaume ana majukumu yake na kuna majukumu ya wote kwa pamoja, Mwanamke upo nae kwenye uchumba yupo lege lege hatimizi majukumu yake huyo unamuoaje ?
Mwanamke upo nae uchumbani kila siku yeye kuagiza vyakula ilhali stoo imejaa vyakula vya kupika na gesi ni kama yote, mwanaume unajitahidi kwa mafumbo kupika kama ulivyokuwa bachela lakini yeye dish bado halikamati anakusifia "oh unajua kupika" yani hajiongezi, yani akipika ni mpaka kwa kujivuta ama iwe kwajili ya kujiposti status ama instagram ili asifiwe.
Nguo zako nazo ni mvivu kukufulia.
Usafi wa chumba ama nyumba bado unaufanya wewe wakati yeye yupo..
Muda wote huo wewe unatimiza majukumu yako ya kumpa pesa ya matumizi unayoihangaikia asubuhi mpaka jioni na pengine hadi usiku.
Unaoaje sample hii ??
Ewe kijana, unapokuwa na mchumba ukimleta hapo chumbani ama nyumbani kwako, hapo ndio eneo la la kumsahishia mtihani wa mahitaji muhimu ya ndoa, akibaki kukushangaa, akijivuta vuta, yupo bize na simu, huyo tayari ana F sio wa kufunga nae ndoa, fanya nae mambo mengine ila sio wa ndoa.