Minjemba ya humu hata kama haipiki itasema inapika. Sio mbaya mmekubali kuwa kupika hakuwaondolei uanaume wenu. Halafu sio kupika tu, hata kufua na kubadilisha mtoto nepi navyo mfanye.
Mkuu, upishi kumbe ni tabia, nilikuwa silijui ili.
Mimi sio mmoja wao,hukohuko na kufua nepi sijui nini!
Wala usipate tabu ni zero minus...! X-Paster is smiling. :biggrin:Hata hapa ulipoandika hii post inaonesha IQ yako ilivyo!
Tumesema? Wapi nimesema kuwa kupika ni hobby?si mmesema ni hobby?
Sasa si kuna hobby za kike na kiume?
Wala usipate tabu ni zero minus...! X-Paster is smiling. :biggrin:
Tumesema? Wapi nimesema kuwa kupika ni hobby?
sikushangai maana malezi nayo yanachangia sana. Hebu msome nyumba kubwa hapo chini.
Mkuu, mimi simuwakilishi mtu hapa, najiwakilisha mwenyewe, sasa wapi nimetamka kuwa ni hobby, labda nimesahau... si vibaya ukanikumbusha...!duh, mnaanza kuniruka?
Ntakuwa mfupi sasa
Wala usipate tabu ni zero minus...! X-Paster is smiling. :biggrin:
Inategemea na mazingira tulokulia. SIsi baba yetu amepika sana mama akisafiri na kukiwa hakuna h/girl. Nakumbuka nikiwa primary mama alifiwa akasafiri my dad was cooking every day; tena bila kujificha. Hivyo basi hata kaka zangu ni wapishi wazuri saaana. Kuna mmoja huyo nakumbuka alikuwa anakaangiza afu anatia pilipili tusimdoee tulipokuwa wadogo; Lol.
Hivyo basi mimi nikimtembelea kaka yangu nikamkuta jikoni wala sishtuki na yeye wala hashtuki tena nampa big up kabisa kwa kutomfanya mkewe h/grl na namuona anazidi kuonekana caring husband. Lol.
Kuhitimisha ni kuwa kama umekulia kwenye mazingira ambayo hujawai kuona mwanaume anafanya kazi za jikoni; na umeshaambiwa ni taboo; wala sikushangai kwani haya mambo yako socially constructed.😛hoto:
duh! hii ni kali aseeeh.Minjemba ya humu hata kama haipiki itasema inapika. Sio mbaya mmekubali kuwa kupika hakuwaondolei uanaume wenu. Halafu sio kupika tu, hata kufua na kubadilisha mtoto nepi navyo mfanye.
duh! hii ni kali aseeeh.
Ah ah ah ah... Shukrani sana.Chukua tano za ukweli!!
Sasa chakusikitisha hapo ni kipi?
No wonder hata watoto hawajui ukaribu wa baba zao kisa majirani watasema.
Lizzy weweeee????
Kwani kuwa karibu na watoto lazima uingie jikoni??
No way bwana!!
Ah ah ah ah... Shukrani sana.