ni mgawanyo wa kazi ndio ulivyo
Kama mnashirikiana jikoni, kikiwa kizuri au kibaya, mmetengeza au mmeharibu nyote. Ikiwa kinalika mtakula ikiwa hakiliki mtaanza upya au kwenda kula nje. Sijui kwa nini baadhi ya wasichana hawatumii hii fursa.Hehehehe,mama anaogopa kuambiwa "ahhh chakula cha leo mbona sio kizuri kama cha jana?" Kwahiyo ameona bora wazoee hicho hicho anachopika yeye.
Nani aliyeamua mgawanyo huo wa kusema Baba hastahili kumbadilisha mwanae diaper, kumlisha na hata kumsafisha?
.....majukumu ya mwanamke hayo, Mwanaume akiyafanya hayo basi nguvu zake za kiume zitapungua sana!!!.....Baadhi ya Miafrika ndivyo ilivyo!!!! VERY SAD!!!!!!
Mwanaume anayeingia jikoni kupika na kufurahia kitendo hicho - either single or married - hafai kabisa!
Kama mnashirikiana jikoni, kikiwa kizuri au kibaya, mmetengeza au mmeharibu nyote. Ikiwa kinalika mtakula ikiwa hakiliki mtaanza upya au kwenda kula nje. Sijui kwa nini baadhi ya wasichana hawatumii hii fursa.
Orait, ntabadili niseme "wamezoeleka".
BAK,
Unakumbuka ule msemo wa wahamasishaji wa mapambano dhidi ya HIV/AIDS???
Kwamba unapomnyooshea mtu kidole kimoja..vitatu vinakuelekea.....
Hakuna mtu ambaye ni Gold standard katika maisha...
Hebu some post ya Klorokwini (#193) hapo juu
Nani aliyeamua mgawanyo huo wa kusema Baba hastahili kumbadilisha mwanae diaper, kumlisha na hata kumsafisha?
.....majukumu ya mwanamke hayo, Mwanaume akiyafanya hayo basi nguvu zake za kiume zitapungua sana!!!.....Baadhi ya Miafrika ndivyo ilivyo!!!! VERY SAD!!!!!!
.....Wanaogopa macho ya watu...."Mume wake yule huingia jikoni kupika"...."Astaghafirullah!!! naye bado anaishi naye miaka yote hii." Dah! Kweli duniani kuna mambo!!!!! 2011 bado watu wana mtazamo wa 1947!!!! Bado tuna safari ndefu sana.
Alafu utakuta wanalalamika mama kahamishia mapenzi na muda wake wote kwa mtoto. Wanategemea nini na hiyo attitude ya "mchukue mwanao kachafuka" ???
Nenda kwenye kitabu chako cha kiimani!
mawazo ya 1947 sio kosa
as long as yana mantiki
baada ya miaka 20 tukiukubali ushoga
kipindi hicho mtu anayepinga watakuwa wanamwambia
una mawazo ya 2011
Mwanaume anayeingia jikoni kupika na kufurahia kitendo hicho - either single or married - hafai kabisa!