Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
I got a question for you guys,
Katika mazingira yetu ya kibongo bongo bado hakikubaliki sana kwa mwanaume kuingia jikoni na kupika, haswa na wanaume wengine. Akifanya hivyo basi ataitwa majina kibao na yatasemwa mengi juu yake mf.mume bwége,kakaliwa, kalishwa limbwata, sio mwanaume kamili n.k.
Sasa swali langu ni kama hayo hapo juu yanamhusu mwanaume ambaye anaishi na mwanamke, vipi yule asiyeishi na mwanamke (mpenzi/mke)? Pengine anaweza akawa anaishi na ndugu, dada wa kazi au hata mwenyewe. Huyu tumwite nani? Maana kama kukaliwa kakaliwa na nani? Limbwata kapewa na nani? Ubwége kavishwa na nani? Uanaume kavuliwa na nani?
Nadhani ni muda sasa tuanze kukubali wanayofanya wengine na kuwaacha wajihukumu wenyewe. Kama wewe hutaki/huwezi hamna haja ya kumwita anaefanya majina ya ajabu. Baki tu ukishangaa!!
Katika mazingira yetu ya kibongo bongo bado hakikubaliki sana kwa mwanaume kuingia jikoni na kupika, haswa na wanaume wengine. Akifanya hivyo basi ataitwa majina kibao na yatasemwa mengi juu yake mf.mume bwége,kakaliwa, kalishwa limbwata, sio mwanaume kamili n.k.
Sasa swali langu ni kama hayo hapo juu yanamhusu mwanaume ambaye anaishi na mwanamke, vipi yule asiyeishi na mwanamke (mpenzi/mke)? Pengine anaweza akawa anaishi na ndugu, dada wa kazi au hata mwenyewe. Huyu tumwite nani? Maana kama kukaliwa kakaliwa na nani? Limbwata kapewa na nani? Ubwége kavishwa na nani? Uanaume kavuliwa na nani?
Nadhani ni muda sasa tuanze kukubali wanayofanya wengine na kuwaacha wajihukumu wenyewe. Kama wewe hutaki/huwezi hamna haja ya kumwita anaefanya majina ya ajabu. Baki tu ukishangaa!!