Mwanaume epuka kuoga maji ya moto

Mwanaume epuka kuoga maji ya moto

Hakuna mtu anaweza kuoga maji ya moto, bali vuguvugu.... japo hujasema ni jotoridi kiasi gani linaweza kuathiri hizo mbegu.

Nikuhakikishie tu kuwa maji vuguvugu hayawezi kuhusika, tena kwa kuoga tu (showering)..... hata kama utaloweka hizo pumbu kwa muda mrefu.

Pumbu hupanda na kushuka ili kusaka joto stahiki kwa Ustawi wa mbegu, unajua zikipanda humo ndani joto lake ni kiasi gani? Linganisha na maji ya kuoga.

Umesema sababu ya msingi kuwa ni protein in nature, sahihi kabisa.... ila hujasema protein hiyo huwa denatured kwenye joto kiasi gani.

Protein ipo kwenye nyama na hata maharage, kama joto la maji ya kuoga tu ni tatizo vipi tukipika nyama hatupati protein?

Ingetosha tu kusema umejifurahisha, ila unastahili kupuuzwa tu.
 
Nasikia kwa mwanaume kuoga maji ya moto kwa muda mrefu wanajiweka katika hatari ya kupata utasa, kwamba maji ya moto husababisha joto jingi kupita kiasi katika korodani ambapo mbegu za kiume hutengenezewa.

Pumbu.png
 
Nasikia kwa mwanaume kuoga maji ya moto kwa muda mrefu wanajiweka katika hatari ya kupata utasa, kwamba maji ya moto husababisha joto jingi kupita kiasi katika korodani ambapo mbegu za kiume hutengenezewa.

Hii nayo mpya! Kwani huwa tunajiloweka kwenye maji ya moto au tunajimwagia maji yanapita na mwili unarekebisha joto lake?
 
Kwanini nisielewe wewe mzee?

Mikoa yenye baridi asilimia kubwa ya watu huoga maji ya moto ila hizo stori za ugumba hakuna.

Tafiti nyingine muwe mnaachana nazo.
Watu huwa wana haraka sana ya kusoma bila kuelewa! Mbona ulieleweka vizuri tu kwamba ulikuwa unamaanisha nini?
 
Kwanini nisielewe wewe mzee?

Mikoa yenye baridi asilimia kubwa ya watu huoga maji ya moto ila hizo stori za ugumba hakuna.

Tafiti nyingine muwe mnaachana nazo.
Huwa hawaogi Maji ya moto Kwa sababu ya baridi mkuu , ni Mazingira ya kawaida kwao kwani wamezaliwa na kukulia humo.
 
Tunaelewa joto la dar ni kali lakini jitahidi mwanaume usioge maji ya moto/yaliyopigwa na jua kwa muda mrefu.

Kwa sababu nimeona niwafichulie siri, imetoka ripoti kutoka hospitali fulani kuwa kesi za ugumba kwa wanaume zinazidi kuongezeka siku hadi siku.

Inaeleweka kitaalamu kuwa pumbu (scrotum) zinahifadhi mbegu za kiume (sperm) kwa muda, na ndio maana zimejitenga nje ya mwili kwa sababu sperm ni protein in nature, hivyo zikipata joto kali huharibika.

Unapooga maji ya moto maana yake unaongeza scrotal temperature, na hivyo kujimaliza mwenyewe.

Pia tuepuke na kuvaa nguo za kubana, wakati wa mchana na hata muda wa kulala, tukianza na boxer za ndani mpaka jeans mana nazo zinachangia ongezeko la joto kwenye sehemu zako za siri.

Kawaida ya binadamu mpaka jambo limkute ndipo anapopata funzo.
Hizi ndio porojo watanzania wanapenda kusikia hakuna reliable source, hakuna facts, hakuna references, hata hiyo kusema sijui hospital gani sijui nina mashaka nayo, hakuna Daktari wakutoa comment ya hivyo sometimes mnawasingizia ili kufanya hoja zenu zisizo na mantiki na ushahidi wa kisayansi kukubalika, sijajua wewee kama ni mtaalam wa afya.
Ila hata kama sio basi nenda ka google ni joto kiasi gani linahitajika ili kudenature protein kwenye mwili wa binadamu, ili kuepusha aibu ndogo ndogo kama hizi, Mungu hakutengeneza kiumbe wa hivyo ingekuwa hivyo hata ngozi tusingekuwa nazo hata nywele maana zote hizi ni proteins in nature, halafu pia time ya exposure kwenye hot water wakati wa kuoga ni ndogo mno kiasi cha kupelekea ku denature sperm protein, sidhani kama kuna mwanaume anaoga nusu saa mzima hata DK 15 huenda ni wachache sana, wengi wetu ni chini ya hapo, kwa joto la maji ambalo hata ngozi inaweza ku stahimili huo ni muda mchache sana sana tena sana kuweza ku denature proteins, sperm zingekuwa hivyo sidhani kama tungekuwa hapa
Mi niliamini hili ni jukwaa watu hupeana maarifa sahihi lakini nashangaa uzushi ni mwingi kuliko maarifa sahihi porojo na siasa inatawala kuliko taaluma, na wengi hawana muda wa kuchunguza hupokea mambo kama yalivyo na kuyaisha, bila kujua wakati mwingine unaishi under someone's personal opinions, nimepitia uzi fulani nikakuta na mwingine tena anazungumzia madhara ya vyakula vya kuchoma na kukaanga, yaani anaongea maneno matupu hamna facts za kitabibu, yaani ukimsoma vizuri unajua huyu ni mweupe haelewi hata Anatomy and physiology ya mwili wa binadamu, ndio huyu mwingine tena [emoji848], aisee ukikosa maarifa sahihi umekula hasara taslim kwenye Dunia hii maana utayumbishwa na kila aina ya maarifa
 
Hizi ndio porojo watanzania wanapenda kusikia hakuna reliable source, hakuna facts, hakuna references, hata hiyo kusema sijui hospital gani sijui nina mashaka nayo, hakuna Daktari wakutoa comment ya hivyo sometimes mnawasingizia ili kufanya hoja zenu zisizo na mantiki na ushahidi wa kisayansi kukubalika, sijajua wewee kama ni mtaalam wa afya.
Hizi ndio porojo watanzania wanapenda kusikia hakuna reliable source, hakuna facts, hakuna references, hata hiyo kusema sijui hospital gani sijui nina mashaka nayo, hakuna Daktari wakutoa comment ya hivyo sometimes mnawasingizia ili kufanya hoja zenu zisizo na mantiki na ushahidi wa kisayansi kukubalika, sijajua wewee kama ni mtaalam wa afya.
Ila hata kama sio basi nenda ka google ni joto kiasi gani linahitajika ili kudenature protein kwenye mwili wa binadamu, ili kuepusha aibu ndogo ndogo kama hizi, Mungu hakutengeneza kiumbe wa hivyo ingekuwa hivyo hata ngozi tusingekuwa nazo hata nywele maana zote hizi ni proteins in nature, halafu pia time ya exposure kwenye hot water wakati wa kuoga ni ndogo mno kiasi cha kupelekea ku denature sperm protein, sidhani kama kuna mwanaume anaoga nusu saa mzima hata DK 15 huenda ni wachache sana, wengi wetu ni chini ya hapo, kwa joto la maji ambalo hata ngozi inaweza ku stahimili huo ni muda mchache sana sana tena sana kuweza ku denature proteins, sperm zingekuwa hivyo sidhani kama tungekuwa hapa
Mi niliamini hili ni jukwaa watu hupeana maarifa sahihi lakini nashangaa uzushi ni mwingi kuliko maarifa sahihi porojo na siasa inatawala kuliko taaluma, na wengi hawana muda wa kuchunguza hupokea mambo kama yalivyo na kuyaisha, bila kujua wakati mwingine unaishi under someone's personal opinions, nimepitia uzi fulani nikakuta na mwingine tena anazungumzia madhara ya vyakula vya kuchoma na kukaanga, yaani anaongea maneno matupu hamna facts za kitabibu, yaani ukimsoma vizuri unajua huyu ni mweupe haelewi hata Anatomy and physiology ya mwili wa binadamu, ndio huyu mwingine tena [emoji848], aisee ukikosa maarifa sahihi umekula hasara taslim kwenye Dunia hii maana utayumbishwa na kila aina ya maarifa

hata kama sio basi nenda ka google ni joto kiasi gani linahitajika ili kudenature protein kwenye mwili wa binadamu, ili kuepusha aibu ndogo ndogo kama hizi, Mungu hakutengeneza kiumbe wa hivyo ingekuwa hivyo hata ngozi tusingekuwa nazo hata nywele maana zote hizi ni proteins in nature, halafu pia time ya exposure kwenye hot water wakati wa kuoga ni ndogo mno kiasi cha kupelekea ku denature sperm protein, sidhani kama kuna mwanaume anaoga nusu saa mzima hata DK 15 huenda ni wachache sana, wengi wetu ni chini ya hapo, kwa joto la maji ambalo hata ngozi inaweza ku stahimili huo ni muda mchache sana sana tena sana kuweza ku denature proteins, sperm zingekuwa hivyo sidhani kama tungekuwa hapa
Mi niliamini hili ni jukwaa watu hupeana maarifa sahihi lakini nashangaa uzushi ni mwingi kuliko maarifa sahihi porojo na siasa inatawala kuliko taaluma, na wengi hawana muda wa kuchunguza hupokea mambo kama yalivyo na kuyaisha, bila kujua wakati mwingine unaishi under someone's personal opinions, nimepitia uzi fulani nikakuta na mwingine tena anazungumzia madhara ya vyakula vya kuchoma na kukaanga, yaani anaongea maneno matupu hamna facts za kitabibu, yaani ukimsoma vizuri unajua huyu ni mweupe haelewi hata Anatomy and physiology ya mwili wa binadamu, ndio huyu mwingine tena [emoji848], aisee ukikosa maarifa sahihi umekula hasara taslim kwenye Dunia hii maana utayumbishwa na kila aina ya maarifa
Hapa umeongea kama shabiki wa mpira.

Sasa assume you have the chance to make things right, prove what I've said was wrong.. Kisha tuambie mtu mwenye low sperm count, ukiacha diet/exercise/stress (mambo ambayo sijayataja), mambo gani mengine anashauriwa kuyaacha ili apate mbegu bora?

Are hot baths and saunas don't affect sperm production? Are tight clothes don't affect sperm production?

Kisha tuambie kwa uelewa wako, protein iliyopo kwenye sperms ni sawa na protein iliyopo kwenye nywele? Ni sawa na protein iliyopo kwenye ngozi? Maana ake umenishangaza kweli uliposema:

"Ila hata kama sio basi nenda ka google ni joto kiasi gani linahitajika ili kudenature protein kwenye mwili wa binadamu, ili kuepusha aibu ndogo ndogo kama hizi, Mungu hakutengeneza kiumbe wa hivyo ingekuwa hivyo hata ngozi tusingekuwa nazo hata nywele maana zote hizi ni proteins in nature.."

Hivi unajua cellular composition ya ngozi na nywele? Unajua kama kwenye cellular matrix ya ngozi na nywele kama kuna keratin? Je, unajua kazi ya keratin? Unadhani protein ya keratin ipo kwenye sperms?

Uwanja ni wako mtaalamu!
 
Mwaka juzi ulikuwa na baridi. Sidhani km kuna siku nilioga maji baridi.

Mwaka jana nikioga mchana napo ni jua liwe linawaka. Km hamna jua sigusi maji baridi, labda nikiwa naosha kwa bibi.

Mwaka huu bana naoga maji direct kutoka bombani kwa mwezi huu Feb haswa jioni nikirudi/ mchana, jua linawaka balaa.. ila asbh sana siwezi maji baridi.
Kwa bibi maji baridi ndo mazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom