mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 4,287
- 9,162
wadogo au?ila hii ya wawili ndani do!
wadogo au?ila hii ya wawili ndani do!
Kuna haja gani ya kukimbilia kukoment kabla hujaelewa? Au uwelewa wako ndio shida, sasa hapo umeandika nini kulingana na mada husika?Mikoa yenye baridi asilimia kubwa ya wanaume wangekuwa wagumba.
Utafiti uchwara.
Yenye baridi. Means wanaume wake wanaoga maji moto. Mbona anaeleweka??Sema yenye joto...
Walisoma haraka haraka 😆Kwanini nisielewe wewe mzee?
Mikoa yenye baridi asilimia kubwa ya watu huoga maji ya moto ila hizo stori za ugumba hakuna.
Tafiti nyingine muwe mnaachana nazo.
Hivi ni kweli hamjamuelewa? Au mna muattack tu?Kuna haja gani ya kukimbilia kukoment kabla hujaelewa? Au uwelewa wako ndio shida, sasa hapo umeandika nini kulingana na mada husika?
Hahahaa ila li sauna litamu. Ukitoka mule stress kwishneyy. MwepesiiiWale wanaokaa kwenye sauna unawapatia ujumbe gani?
Hahahaa ila li sauna litamu. Ukitoka mule stress kwishneyy. Mwepesiii
Wenyeji wa mikoa ya baridi wanaoga maji ya baridi kwasababu miwili yao imeshaadapt mazingira na hata utengenezaji wa mbegu za kiume unafanyika kutokana na level of temperature regulated internally. Labda wageni ndio wanaopasha maji moto kwa muda. Ili effect itokee ni lazima jambo lowe linafanywa continuously and regularly kwa wanaopita tu madhala ni madogo au hakuna kabisa.Hivi ni kweli hamjamuelewa? Au mna muattack tu?
Uzi unasema msioge maji moto.. hajafunga kwamba ni maji moto ya kuanika juani tu au na warm water.
Ye amereply mikoa yenye baridi wangekuwa wahanga. Means ame assume mikoa ya baridi watu wanaoga sana maji moto.
Au mm ndio sijaelewa uzi?
Darasani ulikuwa unashika mkiaKuna haja gani ya kukimbilia kukoment kabla hujaelewa? Au uwelewa wako ndio shida, sasa hapo umeandika nini kulingana na mada husika?
Hahaa 50/50… sio rahisi hivyoWenyeji wa mikoa ya baridi wanaoga maji ya baridi kwasababu miwili yao imeshaadapt mazingira
Unaingiaga ya umeme au mkaa? Huu utafiti ni uchwara tuHuu "utafiti" wa huyu Ndugu unafanya wanaume tuogope kwenda kutoa sumu kule sasa... Maana joto lake sio mchezo.
Walimu wanapata shida sanavkufundisha vichwa ngumu kama nyinyi.Ume reply bila kusoma content naona. Rudi tena kusoma
Wazito kuelewaWalisoma haraka haraka 😆
Sawa ila ningekuwa nawe darasa moja lenye watu wa design yako, people that don't think logically hakika ningeongoza na kuwaacha mbali sana.Darasani ulikuwa unashika mkia
Mwaka juzi ulikuwa na baridi. Sidhani km kuna siku nilioga maji baridi.Kwawewe Depal uliye Arusha kama unaoga maji ya moto bhasi ni kujiendekeza na kwenda kinyume na body functionality which will lead you to some illness in the future
Eti eeh!!Sawa ila ningekuwa nawe darasa moja lenye watu wa design yako, people that don't think logically hakika ningeongoza na kuwaacha mbali sana.
Kwahiyo una vipindi maalumu vya kuoga😄Mwaka juzi ulikuwa na baridi. Sidhani km kuna siku nilioga maji baridi.
Mwaka jana nikioga mchana napo ni jua liwe linawaka. Km hamna jua sigusi maji baridi, labda nikiwa naosha kwa bibi.
Mwaka huu bana naoga maji direct kutoka bombani kwa mwezi huu Feb haswa jioni nikirudi/ mchana, jua linawaka balaa.. ila asbh sana siwezi maji baridi.
Nadhani hujaelewa. Vipindi maalum vya kuoga??Kwahiyo una vipindi maalumu vya kuoga😄