mbuyake
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 190
- 236
Magreat thinker usikuwa wa leo skupata usingizi kabisa baada ya mwanangu mdogo kabisa wa miaka 2 na miezi 8 hivi kushituka usingizini na kutamka maneno ambayo hajawahi kuyatamka kabla tangu ajue kuongea.
Maneno aliyoyatamka ni haya, "wachawi na nyie wachawi nimewaona", sasa alivyoshituka mimi na mama yake pia tulishituka kumsikiliza alivyo maliza tukasikia mkwaruzo juu ya bati, sasa basi kwa ninyi mainteligensi hii ni hali gani?
Maneno aliyoyatamka ni haya, "wachawi na nyie wachawi nimewaona", sasa alivyoshituka mimi na mama yake pia tulishituka kumsikiliza alivyo maliza tukasikia mkwaruzo juu ya bati, sasa basi kwa ninyi mainteligensi hii ni hali gani?