daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,499
- 2,204
Mbona POLICE hawajakanusha?Bado yupo sahihi, huyu aliyeripotiwa na mwananchi sio aliyemtishia Nape. Mwananchi wamekurupuka
Wametoa tu ufafanuzi kuhusu askari aliyejiua
Mbona POLICE hawajakanusha?Bado yupo sahihi, huyu aliyeripotiwa na mwananchi sio aliyemtishia Nape. Mwananchi wamekurupuka
Tukio la polisi kumyang'anya madini na kumuua mfanya biashara ni tukio la uozo wa Polisi Tanzania.Timu Bi Tozo utawajua tu.
Na vijawana watano waliopotea hadi leo?.
Na yule mfanya biashara wa madini aliyekufa kituo cha polisi kule Mtwara, na yule kijana aliye pigwa risasi na policy?
Au wewe hayo huyaoni?. Acha hizo.
Mzimu wa marehemu unakusumbua.Tukio la polisi kumyang'anya madini na kumuua mfanya biashara ni tukio la uozo wa Polisi Tanzania.
Mwendazake alikuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA ambacho kiongizi wake alikuwa Paul Makonda na Ruchard Makungu Musalika, RAS wa Tabora kwa sasa.
Usimhusishe Rais Samia na vitendo viovu, yeye ni msimamia haki tu
Na nikutana nalo naliua mara ya pili na kuchoma moto believe me. Lile Mwendazake lilikuwa shetani kwenye mwili wa binadamuMzimu wa marehemu unakusumbua.
View attachment 2113028
Huyu wa kulia ndiye aliyemtisha Nape Nnauye kwa bastola hadharani mchana kweupe kwa jeuri ya JPM! Muwe mnajiongeza. Hawa watawala mnaowatetea kwa gharama yoyote wanapita.
View attachment 2113028
Huyu wa kulia ndiye aliyemtisha Nape Nnauye kwa bastola hadharani mchana kweupe kwa jeuri ya JPM! Muwe mnajiongeza. Hawa watawala mnaowatetea kwa gharama yoyote wanapita.
yule tuliambiwa anaitwa kisanduku na picha ziliwekwaMmmh Mbona huyu na yule ni watu wawili tofuati?
Yule aliyemng'oa meno Ulimboka au kumuua Mwangosi hakuharibu nchi?Unachotetea ni watu kutishiwa maisha kwa kunyoshewa silaha za moto. Umeona uchungu habari za mwananchi kuliko matukio ya kifedhuli ?!
Mwendazake alituharibia nchi na mambo ya wasiojulikana, ambao leo wanajulikana . Ulikuwa utamaduni wa kishenzi sana
View attachment 2113028
Huyu wa kulia ndiye aliyemtisha Nape Nnauye kwa bastola hadharani mchana kweupe kwa jeuri ya JPM! Muwe mnajiongeza. Hawa watawala mnaowatetea kwa gharama yoyote wanapita.
yule tuliambiwa anaitwa kisanduku na picha ziliwekwa