Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Kutoka kwenye status ya fb ya John Kitime;
Mpiga solo Luigi B52 wa FM Academia amefariki dunia. Msiba uko Mwananyamala kwenye kambi ya bendi. Jirani na kituo cha Mwananyamala A. Mungu amlaze pema Amen.
RIP B52.
Mpiga solo Luigi B52 wa FM Academia amefariki dunia. Msiba uko Mwananyamala kwenye kambi ya bendi. Jirani na kituo cha Mwananyamala A. Mungu amlaze pema Amen.
RIP B52.