Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Wapenzi wa muziki wa dansi, wana Twanga pepeta tutakukumbuka kwa mchango wako mkubwa katika utunzi na nidhamu ya kazi wakati wote wa utumishi wako.
Utunzi wako katika wimbo wa “Kisa cha Mpemba” utabaki kumbukumbu ya wakati wote.
Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi, Amina.
Mbinga alikuwa ni mmoja wa wachalaza magitaa nguli hapa nchini kuwahi kutoke, na ni mzaliwa wa mkoa wa Lindi na ndiko alikoanzia masuala haya ya muziki wa dansi.
Alianza kujulikana kimuziki kwenye miaka ya 2000 akiwa na bendi ya African Sound' "Twanga Pepeta" akiwa na akina Hamisi Amigolas.
Lwiza Mbutu, Victor Mkambi na Ally Choki na hao ni baadhi tu.
Na baadae alijiunga na bendi ya Mchinga Sound ambayo ilikuwa inamilikiwa na mheshimiwa Mohamed Mudhihir-na aling' ara pale akiwa na akina Prince Muumin Mwinjuma, Joseph Watuguru, Roshi Mselela na Michael Riloko.
mpiga solo Adolf Mbinga
Utunzi wako katika wimbo wa “Kisa cha Mpemba” utabaki kumbukumbu ya wakati wote.
Mwenyezi Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi, Amina.
Mbinga alikuwa ni mmoja wa wachalaza magitaa nguli hapa nchini kuwahi kutoke, na ni mzaliwa wa mkoa wa Lindi na ndiko alikoanzia masuala haya ya muziki wa dansi.
Alianza kujulikana kimuziki kwenye miaka ya 2000 akiwa na bendi ya African Sound' "Twanga Pepeta" akiwa na akina Hamisi Amigolas.
Lwiza Mbutu, Victor Mkambi na Ally Choki na hao ni baadhi tu.
Na baadae alijiunga na bendi ya Mchinga Sound ambayo ilikuwa inamilikiwa na mheshimiwa Mohamed Mudhihir-na aling' ara pale akiwa na akina Prince Muumin Mwinjuma, Joseph Watuguru, Roshi Mselela na Michael Riloko.
mpiga solo Adolf Mbinga