TANZIA Mtoto wa mwanamziki Davido Afariki Dunia akiwa anaogelea

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Aug 16, 2017
851
1,887
Habari.


Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool.

RIP little Young.


Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi David, he had with Chioma Rowland aka Chef Chi.

Ifeanyi who only recently celebrated his 3rd birthday reportedly drowned in his father’s Banana Island swimming pool and was rushed to Lagoon Hospital on Bourdillon road, Ikoyi, Lagos where he passed on.

VERY SAD INDEED. THIS KIND OF PAIN TAKES THE BREATH OUT OF A PARENT'S BODY.
MAY GOD COMFORT THEM

=====

Davido Amempoteza Mtoto Wake Wa Kiume #IfeanyiAdeleke Mwenye Umri Wa Miaka Mitatu 3 (Pichani).
1667296457199.png


Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Ifeanyi Amefariki Kwa Kuzama Kwenye Swimming Pool Siku Chache Baada Ya Birthday Yake Oktoba 20. Amefariki Jumatatu Oktoba 31

Davido Na Chioma Walibarikiwa Kumpata Mtoto Wao Huyu oktoba 20, 2019.

1667296533861.png


Wazazi na walezi kuna jambo la kujifunza hapo.

=====

Mtoto wa mwanamuziki Davido Adeleke na mpenzi wake Chioma Rowland, Ifeanyi Adeleke (3) amefariki dunia baada ya kuzama kwenye bwawa la kuogelea ‘Swimming Pool’ nyumbani kwao.

Vyombo mbalimbali vya habari nchini Nigeria vinaripoti kuwa mtoto huyo alifariki jana Jumatatu Oktoba 31, 2022.

Taarifa zinasema Ifeanyi alizama kwenye maji kwa muda mrefu kabla ya wazazi wake hawajagundua kutoweka kwa mtoto wao na baadaye walikuta akielea kwenye maji.

Davido anakuwa msanii wapili nchini humo kumpoteza mtoto kwa kuzama kwenye maji, kwani mwaka 2018 moto wa msanii D’Banj naye alipoteza maisha katika tukio kama hilo.
 
Habari.


Mtoto wa mwanamziki mashuhuri Davido Amefariki akiwa anaogelea Kwenye Swimming pool.

RIP little Young.


Music icon, David Adeleke aka Davido has sadly lost his first son, Ifeanyi David, he had with Chioma Rowland aka Chef Chi.

Ifeanyi who only recently celebrated his 3rd birthday reportedly drowned in his father’s Banana Island swimming pool and was rushed to Lagoon Hospital on Bourdillon road, Ikoyi, Lagos where he passed on.

VERY SAD INDEED. THIS KIND OF PAIN TAKES THE BREATH OUT OF A PARENT'S BODY.
MAY GOD COMFORT THEM
oh my Lord
 
Back
Top Bottom