TANZIA Mwanamuziki Tina Turner afariki dunia akiwa na miaka 83, alikuwa na Saratani ya Utumbo

Nyota huyo mkongwe wa Muziki wa Rock’n’Roll amefariki akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa familia, Turner alianza kuwa na hali mbaya ya Kiafya baada ya kugundulika kuwa na Saratani ya Utumbo mwaka 2016 na kupandikizwa Figo mwaka 2017.

Enzi za uhai wake, alifanikiwa kushawishi Wanawake wenye Asili ya Afrika, kufanya muziki wa Rock’N’Roll’ huku akitamba na nyimbo kama Whats Love Got To Do Wit It na Proud Mary.


===

View attachment 2633782
Picha: Tina Turner


Msanii Tina Turner amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Turner alikuwa maarufu kwa nyimbo kama "Proud Mary" na "What's Love Got To Do With It" na ufundi wake wa kuimba jukwaani.

Aliacha kufanya ziara za muziki mwaka 2008.

Katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya kazi yake, mwimbaji Mmarekani-Mswisi, ambaye alizaliwa kwa jina la Anna Mae Bullock huko Nutbush, Tennessee, alishinda Tuzo za Grammy nane, ana nyota kwenye Hollywood Walk of Fame, na alikuwa ameidhinishwa katika Rock and Roll Hall of Fame mara mbili.

---
SINGER TINA TURNER has died at the age of 83 after a long illness, her publicist told the PA news agency.

Turner was known for such hits as Proud Mary and What’s Love Got To Do With It and her dynamic on-stage performances.

She retired from touring in 2008.

In a career spanning over 60 years, the American-Swiss singer, who was born Anna Mae Bullock in Nutbush, Tennessee, won eight competitive Grammy Awards, has a star on the Hollywood Walk of Fame and was inducted into the Rock and Roll Hall of Fame twice.

Her autobiography, I, Tina, was turned into the 1993 film What’s Love Got To Do With It, dramatising the mother-of-two’s famously turbulent relationship with Ike Turner and it also saw Angela Bassett nominated for an Oscar for her performance as Tina in the biopic.

Turner, widely referred to as the Queen of Rock and Roll, wed her long-time German beau, the music executive Erwin Bach, in a Swiss civil ceremony in 2013, and has lived in Switzerland with him since 1994.

It was a second marriage for the music star, who was previously married to musician Ike from 1962 to 1978.

In her 1986 book, the singer narrated a harrowing tale of abuse, including suffering a broken nose during the course of her marriage to Ike.

Ike died in December 2007 and Tina’s spokeswoman at the time was quoted as saying: “Tina is aware that Ike passed away earlier today. She has not had any contact with him in 35 years. No further comment will be made.”

She had suffered ill health in recent years, being diagnosed with intestinal cancer in 2016 and having a kidney transplant in 2017.

Rolling Stone paid tribute to Tina, saying that her “influence on rock, R&B and soul singing and performance was immeasurable”.
So sad...RIP Tina.

'What's Love Got to Do' haijawahi kunichosha....that energy!! The song always leaves me with goosebumps..
 
Tina Turner, who has died at the age of 83, was widely referred to as the Queen of Rock'n'Roll.

She rose to fame as the lead singer of the Ike & Tina Turner Revue before her career as a solo performer took off in the 1980s.

She is best known for hits including The Best, Private Dancer, What's Love Got to Do With It, Typical Male and Let's Stay Together.

AA1bDI7W.jpg



AA1bDI85.jpg


AA1bDS91.jpg
 
nimeumizwa sana na kifo chake nilipoona news mahali nikajua uzushi nikawasha tv sky news naona maombolezo daaaa mapigo ya moyo kasi
Tiner Turner alikua mpambanaji sana historia ya muziki na maisha alivifanikisha kwa mafanikio makubwa sana!
R.I.P legend!
 
Kazaliwa kwenye umasikini, kapitia ubaguzi wa rangi, kapigwa sana na mume wake Ike Turner, kapigania sana career yake, mpaka kawa superstar.

Kuna mshua mmoja alikuwa anakuja home, ilikuwa humwambii kitu kuhusu Tina Turner.
Mara nyingi sipendagi kuwa on your side kwa sababu tu, ya ubishi wako.

Lakini leo umenikosha.
Kwa jinsi ulivyomdadavua mwanamama kipenzi cha watu marehemu Tina Turner.

Much appreciation Compatriot👏
 
Nyota huyo mkongwe wa Muziki wa Rock’n’Roll amefariki akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa familia, Turner alianza kuwa na hali mbaya ya Kiafya baada ya kugundulika kuwa na Saratani ya Utumbo mwaka 2016 na kupandikizwa Figo mwaka 2017.

Enzi za uhai wake, alifanikiwa kushawishi Wanawake wenye Asili ya Afrika, kufanya muziki wa Rock’N’Roll’ huku akitamba na nyimbo kama Whats Love Got To Do Wit It na Proud Mary.


===

View attachment 2633782
Picha: Tina Turner


Msanii Tina Turner amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 83 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Turner alikuwa maarufu kwa nyimbo kama "Proud Mary" na "What's Love Got To Do With It" na ufundi wake wa kuimba jukwaani.

Aliacha kufanya ziara za muziki mwaka 2008.

Katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya kazi yake, mwimbaji Mmarekani-Mswisi, ambaye alizaliwa kwa jina la Anna Mae Bullock huko Nutbush, Tennessee, alishinda Tuzo za Grammy nane, ana nyota kwenye Hollywood Walk of Fame, na alikuwa ameidhinishwa katika Rock and Roll Hall of Fame mara mbili.

---
SINGER TINA TURNER has died at the age of 83 after a long illness, her publicist told the PA news agency.

Turner was known for such hits as Proud Mary and What’s Love Got To Do With It and her dynamic on-stage performances.

She retired from touring in 2008.

In a career spanning over 60 years, the American-Swiss singer, who was born Anna Mae Bullock in Nutbush, Tennessee, won eight competitive Grammy Awards, has a star on the Hollywood Walk of Fame and was inducted into the Rock and Roll Hall of Fame twice.

Her autobiography, I, Tina, was turned into the 1993 film What’s Love Got To Do With It, dramatising the mother-of-two’s famously turbulent relationship with Ike Turner and it also saw Angela Bassett nominated for an Oscar for her performance as Tina in the biopic.

Turner, widely referred to as the Queen of Rock and Roll, wed her long-time German beau, the music executive Erwin Bach, in a Swiss civil ceremony in 2013, and has lived in Switzerland with him since 1994.

It was a second marriage for the music star, who was previously married to musician Ike from 1962 to 1978.

In her 1986 book, the singer narrated a harrowing tale of abuse, including suffering a broken nose during the course of her marriage to Ike.

Ike died in December 2007 and Tina’s spokeswoman at the time was quoted as saying: “Tina is aware that Ike passed away earlier today. She has not had any contact with him in 35 years. No further comment will be made.”

She had suffered ill health in recent years, being diagnosed with intestinal cancer in 2016 and having a kidney transplant in 2017.

Rolling Stone paid tribute to Tina, saying that her “influence on rock, R&B and soul singing and performance was immeasurable”.
Maisha yake ya ndoa na ana watoto, wajukuu na vitukuu wangapi ndio nitulie
 
Maisha yake ya ndoa na ana watoto, wajukuu na vitukuu wangapi ndio nitulie
Watoto wawili mmoja kwa saxophonist wa ike, wa pili na Ike Turner, huyu ike ndiye aliyempa jina la Tina turner , jina lake halisi Ni Ann Bullock

Pia aliwakuza watoto wawili wa Ike Turner ,ana wajukuu wawili, ana one divorce na ndoa moja

Jina la Tina alipewa kutokana na comic book ya Sheena, huyu katuni alikuwa mdada machachari alijekulia msituni Africa, mwenye uwezo mkubwa kupambana msituni. Ndipo Ike Turner akampa jina hilo kwa kuwa linafanana kwenye mtamshi
 
RIP
Kuna kipindi nilisikia sauti yake inatumika kufukuza ndege wanaosababisha ajali Airport
 
Nilitaka kuweka hii nikakuta kuwa tayari ipo. Nillipenda sana Muziki wa Tina, ndiyo maana niliacha maandalizi ya finali kusudi niweke maombolezo yangu hapa.

Tina alikuwa mwanamke jasiri sana na alifanikiwa sana kimuziki pamoja na kutokea kwenye backgound mbovu mbovu hadi akaamua kuukana umarekani wake. Mungu Apumzishe roho yake pema peponi.

Nyie wazee ndio mlimfaidi Tina, mimi my late father alikuwa shabiki wake mkubwa akafanya na mimi nimpende. Sasa hata watoto wangu wanajua nyimbo zake.

Rest in peace Tina
 
Back
Top Bottom