Mwanamke SHANGINGI...............

Mwanamke SHANGINGI...............

lol hili la sauti hata mi limenichosha hapa mbavu sina hahahahaha
Hapana jamani sauti?? Ngoja tumuulize kungwi AMIII.......


Tungetaja majina kisha mlinganishe sauti ila naogopa ban!

mbona mengine sauti saafi tu...laini lol

Sauti safi inawezekana - kuna ile sauti inayokuwa kama mtu anakauka sauti au ndio inaanza kurudi.Katika mashangingi 10 utakuta zaidi ya nusu wana hii sauti ya kishangingi
 
Shangingi ni character
Ni character yenye sifa zaidi ya moja
Mtu anaweza kuwa na sifa zote au baadhi ya sifa hizo na ku-qualify kuitwa shangingi
baadhi ya sifa hizo ni kama
1. Umal.y.
2. Unene/umbo kubwa
3. Kujiamini sana hasa kwenye shari (Ushari)
4. Kuongea/kujisifia um.l.y. hadharani hapa inajumuisha na kufundisha wengine jinsi ya ku du na ku-handle infidels zote
5. Kujichubua
6. Kupenda kuonekana na kutambuliwa uwepo wake hasa maeneo ambayo wanamme wapo hasa maeneo ya starehe
7. Kuhakikisha anavaa nguo nzuri, baadhi kuliko hata uwezo wao
8. Accessories nzuri na zinazo-shout sana
9. Nywele ziwe kwenye oda hasa mawigi fasheni ya UTAJIJU
10. Mipasho na umbea, umbea unaufuata magomeni from chanika
11. Kupenda pombe sana hasa za ofa
12. Kutopenda kukaa nyumbani, muda wote ni bar/salon/vijiweni hata kama hana cha kufanya hapo
13. Umri ??? nimeshindwa elezea ila unahu
14. Above all, KUCHUNA ndo mpango mzima
15. Kupaka lipstik kamakaangukia kwenye damu
16. Kupaka wanja wa SINA BWANA, unaanzia kwenye nyusi unaishia kwenye nywele
17. Kama ana eyeshadow??? anakandika kama ka-paint macho na coral paints.
 
Je kila changudoa ni shangingi?
Maana hata wao wanauza na kujipamba

We Kongosho.... hebu angalia huu mjadala afu chukua vile vichangudoa vya kinondoni vivalishe gauni la ushangingi kama litawatosha lol....
Shangingi ni next level yaani shangingi anaweza akawa ana dangulo anawafuga hao machangu kama mia hivi...
Upo hapo??
 
Shangingi ni character
Ni character yenye sifa zaidi ya moja
Mtu anaweza kuwa na sifa zote au baadhi ya sifa hizo na ku-qualify kuitwa shangingi
baadhi ya sifa hizo ni kama
1. Umal.y.
2. Unene/umbo kubwa
3. Kujiamini sana hasa kwenye shari (Ushari)
4. Kuongea/kujisifia um.l.y. hadharani hapa inajumuisha na kufundisha wengine jinsi ya ku du na ku-handle infidels zote
5. Kujichubua
6. Kupenda kuonekana na kutambuliwa uwepo wake hasa maeneo ambayo wanamme wapo hasa maeneo ya starehe
7. Kuhakikisha anavaa nguo nzuri, baadhi kuliko hata uwezo wao
8. Accessories nzuri na zinazo-shout sana
9. Nywele ziwe kwenye oda hasa mawigi fasheni ya UTAJIJU
10. Mipasho na umbea, umbea unaufuata magomeni from chanika
11. Kupenda pombe sana hasa za ofa
12. Kutopenda kukaa nyumbani, muda wote ni bar/salon/vijiweni hata kama hana cha kufanya hapo
13. Umri ??? nimeshindwa elezea ila unahu


sasa DA aseme ni hizi sifa au kuna zingine? lol
 
kwa hiyo mashangingi yana pesa na probably yapo zaidi masaki na mbezi kuliko buguruni na tandika sawa??

Hapana, wengi wa wakaa masaki ni watu wa kipato cha kati au cha chini. Wao hu "target" wale wanaofikiria kuwa kulewa, wanawake, na anasa za kidunia ndio starehe. Wengi wao huwa ni wale wa hali ya chini waliopata pesa za ghafla, kama kwa kuuza unga au kwenda kuajiriwa nje na kurudi na vi "saving" vyako ukivichenji kwa fedha zaetu unaziona nyingi na haziishi, lakini ukikumbana na mashangingi wa uhakika wanakufundisha namna ya kutumia.

Wale watu wenye hali za juu, kwao kutumia laki mbili mpaka tano kila siku ni kitu cha kawaida na haiwastui. Matatizo ni kwa watu kama wewe, mkizishika huwa mnatafuta starehe "artificial" hapo sasa.
 
Hapana, wengi wa wakaa masaki ni watu wa kipato cha kati au cha chini. Wao hu "target" wale wanaofikiria kuwa kulewa, wanawake, na anasa z kudunia ndio starehe. Wengi wao huwa ni wale wa hali ya chini walipata pesa za ghafla, kama kwa kuuza unga au kwenda kuajiriwa nje na kurudi na vi "saving" vyako ukivichenji kwa fedha zaetu unaziona nyingi na haziishi, lakini ukikumbana na mashangingi wa uhakika wanakufundisha namna ya kutumia.

Wale watu wenye hali za juu, kwao kutumia laki mbili mpaka tano kila siku ni kitu cha kawaida na haiwastui. Matatizo ni kwa watu kama wewe, mkizishika huwa mnatafuta starehe "artificial" hapo sasa.

wewe bana....lol
ha ha haaa nitakuwa sikuulizi tena aisee
 
Uswahilini vibaka kibao hayo magold makubwa makubwa si watakuwa wanaibiwa kila kukicha
uswahilini vibaka kibao lkn hawa mashangingi wanajulikana na vibaka wote,hakuna kibaka atakayempora sbb kwanza hawa mashangingi saa ingine wanawatumia vibaka ktk madeal yao.
 
amini usiamin mpendwa wangu,hakuna wanawake wanapenda na wenye magold kama wanawake wakiswahili,kuna una ndugu maeneo ya magomen hivi n alike mwambie akualike siku moja kwenye harusi za uswahili ndo utaona magold yanavyovaliwa,wanawake wa uswahili status yao iko kwenye kuvaa magold.

Cheusi, Nadhani hujui nini maana ya uswahili au Waswahili, ngoja nikufafanulie,

Waswahili au uswahili ni asili ya watu wa pwani , yaani ukanda wa pwani, sasa unavosema wanapenda kuvaa magold na hizo sifa alizopewa shangingi katika uzi huu na comments nyingi wanasema ni yule ambae anapenda magold, na wewe unahusisha waswahili.

Mimi ni mswahili , nimetoka pwani nahisi kama unanitia katika kundi hilo ambalo sidhani kama waswahili wana hizo tabia.

Sifa za Shangingi ulizitaja vizuri kule mwanzo , na wengi wamezibabazua vema tu , lakini naomba nikusahihishe tu kuwa waswahili ni waswahili na mashangingi ni mashangingi ambao wameenea katika kila kona ya Tanzania.

Ahsante kama utanielewa.
 
uswahilini vibaka kibao lkn hawa mashangingi wanajulikana na vibaka wote,hakuna kibaka atakayempora sbb kwanza hawa mashangingi saa ingine wanawatumia vibaka ktk madeal yao.

wewe bana..
sasa wanaenda Dubai na CHina na wanawatumia vibaka pia?????
 
Back
Top Bottom