Mwanamke mwenye heshima anatakiwa aamke kila baada ya masaa mawili amgeuze mume wake asije vunjika shingo

Mwenzio nikitaka kugeuka namuamsha namwambia mume wangu Naomba nigeukie ubavu wa huku.....naogopa kugeuka kimyakimya nisimuharibie usingizi wake mtoto wa watu.
Geuza geuza shingo lake la kichwa cha CHINI usisahau kufanya hivyo Pia
 
Mwanaume usipende dezodezo siku ukiwa jela kazi ya kukugeuza kila baada ya masaa mawili ataifanya nani,nyapala au?
 
Duuh walai nafurahi network imerudi af nakutana na hii... tz ni stress free country
 
Back
Top Bottom