🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu kwaiyo umeweka upinde una maana Gani!? Kwaiyo Mimi kuweka Uzi huo naonekana ni upinde aisee maisha haya,
Kaka nikiwa kama matanzania niliyepata chanjo ya corona roho yangu inauma sana kuwaona nyie ambao hamjapata mnaishi!!
Huyo mme ni mwanasesere au??😂😂
Ka vipi tunyonge......😹Kaka nikiwa kama matanzania niliyepata chanjo ya corona roho yangu inauma sana kuwaona nyie ambao hamjapata mnaishi!!
Madam una maneno sana hahaaHuyo mme ni mwanasesere au??😂😂
Kaka unauma sanaKa vipi tunyonge......😹
Huyo mme ni mwanasesere au??😂😂
Mwenzio nikitaka kugeuka namuamsha namwambia mume wangu Naomba nigeukie ubavu wa huku.....naogopa kugeuka kimyakimya nisimuharibie usingizi wake mtoto wa watu.
Mume ataka malezi, sio mambo ya kihuni🤣🤣🤣 wanahangaika mchana acha usiku tuwadekeze🤣🤣🤣Mmeo ni mwanasesere pia🤣🤣
Shingo la kichwa cha CHINI linageuzwa geuzwa km HINDI la kuchoma ili km linataka kushikilia kichwa wazi vizuri lionekane likiwa katika hali gani kwa muda huoTofauti yake na hindi la kuchoma ni kulala jikoni tu.