Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,275
- 50,086
Moja na pili ni kwa kiwango kidogo sana inaleta upungufu wa nguvu ila 3 ndo tatizo lilipo, life style inachangia pakubwa ukosefu wa nguvu za kiume kubalini tu na hili kwa mwanaume Ni aibu ndo maana mnajihami mapema ili lisiongelewe sababu inawadhalilisha na kweli mwanaume asie na nguvu Ni Kama kopo lililoishiwa bidhaa, matumizi yake ni kuwekewa chumvi, sukari na makazi yake Ni jikoni hope mmenielewaNi kweli hayo matatizo yako.
Lakini mengine husababishwa ba baadhi za ofisi zenu na mwenye ofisi mwenyewe.
Katika sex mwanamke anayo nafasi kubwa sana kumfanya mwanaume arudie tendo mara kadhaa...hii inatokana na atakavyomjengea mwanaume mvuto...utundu wake katika kuteka hisia.
Pili; kuna binti unamtamani sana lakini akikufunulia tu hamu inakata.
Maumbile mengine yana maji na mtepeto wa ajabu.
Mwanaume anaweza kujikaza kuanza ku sex lakini aidha anaweza kuharakisha amalize au hata hisia zikaishia katikati ya tendo.
Tatu ni matatizo ya nguvu za kiume litokazo na mtindo wa maisha...vyakula, nyeto, porn nk