Mwanamke kuongelea suala la nguvu za kiume hadharani huwa unapata tafsiri ipi?

Binafsi naamini wanaume wengi wapo vizuri Tena sanaaaa ipa sasa sexual performance ndo ikulu ya wanaume kwa hiyo tukitaka kuwa indimidate na kuumiza ego zao tunakuja na propaganda za nguvu za kiume na hivyo kuwapelekea kupata msongo wa mawazo, substance abuse na kuanza kutoa Lord-knows-what wanazo uziwa mitaani.

Kama issue ni sexual performance basi sio kosa la mwanamme pekee. Sisi wanawake tunachangia Tena kwa kiasi kikubwa sana. Kwanza kuwazidishia stress, pili kutotambua performance pia inategemea na huko kwa mwenzie amepakutaje in terms of mileage, hygiene etc.

So before pointing fingers, preaching lots of BS and bringing our men down, let us evaluate ourselves first.
Miss u sweetheart...
 
Swala la wanawake kutofikishwa ni swala gumu kutoa conclusion kama kijana niliyefaidi ujana wangu napenda kusema lawama nyingine ziende kwa wanawake kwani wao ni wabinafsi sana, utakuta hapo umeshampiga msosi umechomw na pesa ya room usikute alafu anagoma kutoa mzigo, hata akitoa unamuona akili hazipo mchezoni kama vile anaku-enjoy unaamua raha jipe mwenyewe then unasepa baadae unakutana na lawama kama hizo wakati hata kwenye mechi yenyewe ulipewa pale uliomba kuingiza kichwa tu ,,
Mpaka unakuja kumla demu unafanya tu kama kumkomoa au kama vile unachukua fao la kujitoa hapo unagonga unasema kwa mambo aliyonifanyia huyu dada nikikojoa tu hapa mwisho wa stori na namba yake nafuta kabisa, kwa namna kama hii nani ana time yakumuandaa au kutoa kipaumbele hisia za mwanamke.
 
Swala la wanawake kutofikishwa ni swala gumu kutoa conclusion kama kijana niliyefaidi ujana wangu napenda kusema lawama nyingine ziende kwa wanawake kwani wao ni wabinafsi sana, utakuta hapo umeshampiga msosi umechomw na pesa ya room usikute alafu anagoma kutoa mzigo, hata akitoa unamuona akili hazipo mchezoni kama vile anaku-enjoy unaamua raha jipe mwenyewe then unasepa baadae unakutana na lawama kama hizo wakati hata kwenye mechi yenyewe ulipewa pale uliomba kuingiza kichwa tu ,,
Mpaka unakuja kumla demu unafanya tu kama kumkomoa au kama vile unachukua fao la kujitoa hapo unagonga unasema kwa mambo aliyonifanyia huyu dada nikikojoa tu hapa mwisho wa stori na namba yake nafuta kabisa, kwa namna kama hii nani ana time yakumuandaa au kutoa kipaumbele hisia za mwanamke.
Kwa ufupi umehitimisha.
 
baba wa taifa aliwahi kusema kuhusu siasa za kimalaya malaya
wanatabia za ki-ma-la-ya ma-la-ya hivi
hao hawatufai ha-ta kidogo!! narudia hata kidogo!!
 
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Kumekuwa na kasumba la wadada kuongelea suala la nguvu la kiume hadharani tena kwa kujiamini. Mimi binafsi nikisikia mwanamke anaongelea suala hili namtafsiri huyu mwanamke kama kaliwa sana na wahuni in short ni malaya.

Wewe unapataga tafsiri ipi?
Picha ninayopata "Waliompitia hawajamgonga ipasavyo, au labda bora wangeshirikiana kumpiga mtungo (mande)
 
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Kumekuwa na kasumba la wadada kuongelea suala la nguvu la kiume hadharani tena kwa kujiamini. Mimi binafsi nikisikia mwanamke anaongelea suala hili namtafsiri huyu mwanamke kama kaliwa sana na wahuni in short ni malaya.

Wewe unapataga tafsiri ipi?
Yawezekana anamsema mume wake, ila nashangaa wabunge wetu, yaani kuna matatizo ya madarasa, madawati, vituo vya afya, maji, umeme, miundo mbinu, kweli kashindwa kuongelea hayo kaona hili swala la nguvu za kiume?! Kweli hatuna wabunge...
 
Labda tuwaulize kwanza waume/boyfriends zao wanajisikiaje kuona mke/mchumba anazungumzia hilo suala hadharani.
 
Usiombe hii kitu ikitokee!

Wanawake siku hizi wamekuwa huru sana kuongelea ya sirini, wana makundi yao kibao sijui wasapu sijui fesibuku kutwa kujadili na kufundishana ngono.

Wengi wakitumiana zile video pendwa na kulinganisha na wapenzi wao, wanaanza kuona huna LOLOTE ni kibamia tu.

Mwanamke wako akitaka kukutoa mchezoni, anakutamkia tu HUNIFIKISHI... kwisha habari yako.
You said it all
 
ndo kamchezo kao hako wanaharibu saikolojia basi hapo mwamba akiambiwa ivyo anatafuta dawa ni kuna demu alinifanya nikote kweny mchezo mapema eti nataka unipige show ya maana masaa kadhaa duh nikaona hapa hatar
 
Sema wanawake wengi wanatumia nguvu za kiume kama sababu za kuficha uovu wao pia kuficha mabwawa yao ya mtera. kuna mwanasaikolojia ameawahi kusema ni ngumu kumridhisha mwanamke aliyelala na wanaume wengi au asiyekupenda pia mwenye chuki zidi ya wanaume.hii kwa sababu mwanamke mpaka alidhike inategemea na mawazo yake yamekaaje juu ya hilo tendo ,sasa mtu unasex naye halafu naye mawazo yake yako kwa juma au kwingine halafu unataka ulidhishwe. au basi chukulia mfano mdogo tu wewe kila siku unakula nyama za wanyama tofauti halafu siku mtu anakuletea zawadi nyama moja ya wanyama unaokulaga unaweza shutka au kujawa na hamu kuila ile nyama,jibu ni hapana utaona hio zawadi ya kawaida sana nautakula bila motisha yani ile Unakula kupeleka tumboni tu kama wajibu. . huu mfano ndio inaendana na mwanamke aliyelala na wanaume wengi mwisho wa siku anapoteza hisia na motisha kwa sababu ya kuzoea wanaume tofauti hapo anabaki kutangaza wanaume wa siku hizi wana mapungufu kumbe umezidisha kugawa.pia nakubali kuna wanaume wanaupungufu wapo ila sio kama Noelia anavyolikuza .tatizo pia lipo kwa KE Wenzio washauli wapunguze kugawa kwa sababu wanajialibia wenyewe mifumo yao ya uzazi na saikolojia yao.
 
Back
Top Bottom