Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Dah Noella bhana... shkamoo mjukuu wangu...Wengi wako namba 2 japokuwa hata namba 1 yote ni matatizo makubwa
Dah Noella bhana... shkamoo mjukuu wangu...Wengi wako namba 2 japokuwa hata namba 1 yote ni matatizo makubwa
Miss u sweetheart...Binafsi naamini wanaume wengi wapo vizuri Tena sanaaaa ipa sasa sexual performance ndo ikulu ya wanaume kwa hiyo tukitaka kuwa indimidate na kuumiza ego zao tunakuja na propaganda za nguvu za kiume na hivyo kuwapelekea kupata msongo wa mawazo, substance abuse na kuanza kutoa Lord-knows-what wanazo uziwa mitaani.
Kama issue ni sexual performance basi sio kosa la mwanamme pekee. Sisi wanawake tunachangia Tena kwa kiasi kikubwa sana. Kwanza kuwazidishia stress, pili kutotambua performance pia inategemea na huko kwa mwenzie amepakutaje in terms of mileage, hygiene etc.
So before pointing fingers, preaching lots of BS and bringing our men down, let us evaluate ourselves first.
Kwa ufupi umehitimisha.Swala la wanawake kutofikishwa ni swala gumu kutoa conclusion kama kijana niliyefaidi ujana wangu napenda kusema lawama nyingine ziende kwa wanawake kwani wao ni wabinafsi sana, utakuta hapo umeshampiga msosi umechomw na pesa ya room usikute alafu anagoma kutoa mzigo, hata akitoa unamuona akili hazipo mchezoni kama vile anaku-enjoy unaamua raha jipe mwenyewe then unasepa baadae unakutana na lawama kama hizo wakati hata kwenye mechi yenyewe ulipewa pale uliomba kuingiza kichwa tu ,,
Mpaka unakuja kumla demu unafanya tu kama kumkomoa au kama vile unachukua fao la kujitoa hapo unagonga unasema kwa mambo aliyonifanyia huyu dada nikikojoa tu hapa mwisho wa stori na namba yake nafuta kabisa, kwa namna kama hii nani ana time yakumuandaa au kutoa kipaumbele hisia za mwanamke.
Mh unataka kuninyima Nini we mzee, nimekumiss babu ile michezo yakoDah Noella bhana... shkamoo mjukuu wangu...
Miss you tooMiss u sweetheart...
Ke, ila mkuu hili sio swali zuri kuuliza, ni vile umetumia ustaarabu otherwise jibu langu lingekukera piaSamahani mkuu wewe ni ME au KE. Sina nia ya kukukera nimeuliza tu ili nijue.
Picha ninayopata "Waliompitia hawajamgonga ipasavyo, au labda bora wangeshirikiana kumpiga mtungo (mande)Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Kumekuwa na kasumba la wadada kuongelea suala la nguvu la kiume hadharani tena kwa kujiamini. Mimi binafsi nikisikia mwanamke anaongelea suala hili namtafsiri huyu mwanamke kama kaliwa sana na wahuni in short ni malaya.
Wewe unapataga tafsiri ipi?
Yawezekana anamsema mume wake, ila nashangaa wabunge wetu, yaani kuna matatizo ya madarasa, madawati, vituo vya afya, maji, umeme, miundo mbinu, kweli kashindwa kuongelea hayo kaona hili swala la nguvu za kiume?! Kweli hatuna wabunge...Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Kumekuwa na kasumba la wadada kuongelea suala la nguvu la kiume hadharani tena kwa kujiamini. Mimi binafsi nikisikia mwanamke anaongelea suala hili namtafsiri huyu mwanamke kama kaliwa sana na wahuni in short ni malaya.
Wewe unapataga tafsiri ipi?
Uwe na amani kabisaSamahani kwa hilo mkuu.
You said it allUsiombe hii kitu ikitokee!
Wanawake siku hizi wamekuwa huru sana kuongelea ya sirini, wana makundi yao kibao sijui wasapu sijui fesibuku kutwa kujadili na kufundishana ngono.
Wengi wakitumiana zile video pendwa na kulinganisha na wapenzi wao, wanaanza kuona huna LOLOTE ni kibamia tu.
Mwanamke wako akitaka kukutoa mchezoni, anakutamkia tu HUNIFIKISHI... kwisha habari yako.
ndo kamchezo kao hako wanaharibu saikolojia basi hapo mwamba akiambiwa ivyo anatafuta dawa ni kuna demu alinifanya nikote kweny mchezo mapema eti nataka unipige show ya maana masaa kadhaa duh nikaona hapa hatar
Ebwanaaee..mnato ndio dawa gani tena 😂😂😂Kuna mmoja pande za A town anauzaga dawa yake inaitwa Mnato. Yule dada akiwa anakuelezea unawezahisi uko uchi,kweli njaa huwa inawatoa watu akili