Mwanamke huwa anapata ugumu ku-Move on endapo alimpenda mtu fulani na akaweka matarajio makubwa kwake , so ni jukumu la mwanaume kutopasha kiporo

Mwanamke huwa anapata ugumu ku-Move on endapo alimpenda mtu fulani na akaweka matarajio makubwa kwake , so ni jukumu la mwanaume kutopasha kiporo

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Morning.

Kuna Dada mmoja alimpata kijana mmoja akiwa na only 20 years .

By that time Huyo Dada mchumba wake wote walikuwa wanasoma.

Baadae yule Dada alimaliza masomo yake na kujariwa na Mwananchi na baadae BBC.

Na yule Kijana alimaliza masomo yake akaenda jeshini na Kuwa na cheo kikubwa tu.

Ila Baada ya muda fulani yule Kijana akaamua kuoa Mwanamke mwingine na maisha yakaendelea.

Yule Dada aliendelea kukataa wanaume walionesha interest za kumuoa .

Pamoja na kupewa taarifa kuwa mchumba wake ameshaoa , Ila aliendelea kumfatilia over 20 yrs

Na mwisho wa Mchezo Yule Mwanajesha alipata kes ya mambo ya fedha na akafungwa na Mwanamke alipata ajari mbaya Sana ya gari. na sasa ameokoka ila bado anamfatilia mwnaume alitemkataa .




So mchezo uliisha hivyo .


Ila wanawake wengi Ku -Move on ni ngumu Sana.

Kwahiyo ni jukumu la wanaume Ku -play fairy .
 
Mwanamke ana move on kimkakati sio kama unavyofikria .
Una pesa na unahudumia.
Siwezi ku move on kama unanihudumia lazima ni act. Tanzania hii iliyojaa ma jobless nikatae huduma za kifedha za bure zisizo na na riba Wala marejesho.,.. huyo mwanamke atakuwa ni kichaka.

Ujuzi kipaji.
Kijana wewe ni x wa mtu na unakipaji ambacho kinaweza kunisaidie x wako !!!! Kwa nn nisikutumie unirahisishie kazi zangu na wewe ubaki ukijigamba sija move on kumbe kiuharisia wewe ndio huja move on

Cheo wadhifa..
Yaani x wangu una cheo na wadhifa bongo hii nikaze fuvu eti nime move on kumbe simu yako moja tu ni msaada tosha wa kunivusha au kukamilisha mipango yangu.

Kumbuka..
Mwanamke ana move on akiwa na wewe Tena uchi huku mkipanga mipango yenu!!! ni kwamba the perfect replacement inachelewa tu!!!! Wewe unajigamba haja move on subiri msubiliwa apatikane ndo utajuwa kwamba hesabu ni muhimu kufata kanuni
 
U move on usi move on,kulala na ex wako Ni ujinga uliopitiliza!
Tasnia ya mapenzi ni muunganiko wa maujinga matupu!

Suala la 'kupasha kiporo' huwa lina starehe zake na wengine tendo hilo hupelekea hadi kuhuisha ndoa ama mahusiano.

Kupasha kiporo hutumiwa kama toba ili watu wapate kusameheana madhambi yao kidhati kutoka rohoni mwao.

Kukataa unapoombwa kupasha kiporo ni kuendeleza chuki, visasi na nongwa!

Kosa gani hilo lisilosamehewa na kuendeleza kusongesha visasi?

Kusema 'ni ujinga uliopitiluza' upo sahihi, lakini kufanya mapenzi hata kama si ya kupasha kiporo ni upumbafu uliohalalishwa!
 
Morning.

Kuna Dada mmoja alimpata kijana mmoja akiwa na only 20 years .

By that time Huyo Dada mchumba wake wote walikuwa wanasoma.

Baadae yule Dada alimaliza masomo yake na kujariwa na Mwananchi na baadae BBC.

Na yule Kijana alimaliza masomo yake akaenda jeshini na Kuwa na cheo kikubwa tu.

Ila Baada ya muda fulani yule Kijana akaamua kuoa Mwanamke mwingine na maisha yakaendelea.

Yule Dada aliendelea kukataa wanaume walionesha interest za kumuoa .

Pamoja na kupewa taarifa kuwa mchumba wake ameshaoa , Ila aliendelea kumfatilia over 20 yrs

Na mwisho wa Mchezo Yule Mwanajesha alipata kes ya mambo ya fedha na akafungwa na Mwanamke alipata ajari mbaya Sana ya gari. na sasa ameokoka ila bado anamfatilia mwnaume alitemkataa .




So mchezo uliisha hivyo .


Ila wanawake wengi Ku -Move on ni ngumu Sana.

Kwahiyo ni jukumu la wanaume Ku -play fairy .
Hao walikuwa wanawake wa zamani tu sasa hivi hata wiki haifiki mwenzio ashapata paparazi mwingine
 
Mwanamke ana move on kimkakati sio kama unavyofikria .
Una pesa na unahudumia.
Siwezi ku move on kama unanihudumia lazima ni act. Tanzania hii iliyojaa ma jobless nikatae huduma za kifedha za bure zisizo na na riba Wala marejesho.,.. huyo mwanamke atakuwa ni kichaka.

Ujuzi kipaji.
Kijana wewe ni x wa mtu na unakipaji ambacho kinaweza kunisaidie x wako !!!! Kwa nn nisikutumie unirahisishie kazi zangu na wewe ubaki ukijigamba sija move on kumbe kiuharisia wewe ndio huja move on

Cheo wadhifa..
Yaani x wangu una cheo na wadhifa bongo hii nikaze fuvu eti nime move on kumbe simu yako moja tu ni msaada tosha wa kunivusha au kukamilisha mipango yangu.

Kumbuka..
Mwanamke ana move on akiwa na wewe Tena uchi huku mkipanga mipango yenu!!! ni kwamba the perfect replacement inachelewa tu!!!! Wewe unajigamba haja move on subiri msubiliwa apatikane ndo utajuwa kwamba hesabu ni muhimu kufata kanuni
Hapa umeongea ukweli tena unaweza kumove on huku yupo kifuani anahema kama bata batani

Ila wanawake mnadhambi sana tena mbaya mno huku umeng'ang'ana kuita jina na kumsifia anavyoteanga nyang'au lako .

Asiye na akili anavimba bichwa mpka kujisema mbele za watu

Nyie wanawake ni zaidi ya shetwani mgogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom