Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,860
- 43,772
🤣🤣🤣🤣Ina maana kubwa sana hiyo connections zitakuja tu ya kwanza ni hii ya leo tayari mwenye ubavu wake ameshakupata.
🤣🤣🤣🤣Ina maana kubwa sana hiyo connections zitakuja tu ya kwanza ni hii ya leo tayari mwenye ubavu wake ameshakupata.
Halafu wanawake hawajui tuMgunduzi upo sahihi sana. Ukiwa real utapata vingi kama sio vyote. Mwanaume haoni shida kwenye hilo hasa akiwa anakuelewa
Wanawake wa Sasa wanaomba sana badala ya kuwa mpenzi unageuka kuwa kama Baba yake mzazi hiyo ndio shida iliyopo huo muda wakujiongeza unautoa wapi wakati hapo kakuminya kwa kila angle ataomba hela ya kuudhuria kwenye happy birthday ya rafiki yake, ikiisha gas wewe, vocha wewe,Kodi wewe, wigi wewe, hela ya sikukuu wewe, Happy birthday party yake wewe, outing wewe, ugonjwa wa familia yake wewe n.k achagui wapi pakuomba na wapi si pakuomba yaani ni hela heka acha tuBtw, kwann usubiri mpk mwanamke wako akuombe pesa ?
Sio sawa, fanya kwa sehem yako kwa uwezo wako hiohuo ulionao...
Ni nzuri kuliko mpk usubiri uombwe sio poa wakaka
Hakuna kanuni maalum.Halafu wanawake hawajui tu
Yaani ukitaka mwanaume awe anakununulia vitu, anza wewe kumnunulia Kwa hela yako hiyohiyo hata kama ni kidogo.
Utaona atakavyokushangaza.
Njia Moja wapo ya kumfundisha mtu kutoa, ni wewe kuonyesha mfano wa kutoa.
Halafu sasa hela Zenyewe tunazowanunulia zawadi, ndio hizohizo ambazo baadaye mnatupa.
..
Hii inafanya kazi kwa real men
Siyo wale Marioo
🤣🤣🤣🤣aah wapambe nomaChristine_1 moyo wa Red black ni meli na nafsi yako ni bandari, Acha mwamba awake ⚓ hapo bandarini. ♥️
kwenye hili Niko seriously budaUfanye kweli sasa na huo ndio uanaume
Bora mama umetusaidia yeye anajua wapi Wanaume tunamindHakuna mwanaume ambae hatoi hela, nakataa!
huyo nilikuwa nishamuacha ila whatsapp ilifanya back up automatically ikarestore kila kitu na kwa bahati mbaya alishika simu kufungua alikuta convo ya muda sana nikaona isiwe kesi nika uniinstall chap baada ya kujua ni backup maana ile ni convo moja tu kaona ila zilikuwa nyingine. Nashukuru tu alivyoiona ile alipaniki na kuanza kulia hakuendelea na convo nyingine maana ingekuwa mbaya. Kwahiyo nilikomaa na kisingizio ni back up na hizo convo zilikuwa ni za kabla hata hatujawa wapenzi maana tulianzia urafiki. Akanielewa japo ndio hivyo namba kaja kuzifuta sijui lini.Ulimuacha huyo mchepuko?
🤣🤣🤣Wanawake wa Sasa wanaomba sana badala ya kuwa mpenzi unageuka kuwa kama Baba yake mzazi hiyo ndio shida iliyopo huo muda wakujiongeza unautoa wapi wakati hapo kakuminya kwa kila angle ataomba hela ya kuudhuria kwenye happy birthday ya rafiki yake, ikiisha gas wewe, vocha wewe,Kodi wewe, wigi wewe, hela ya sikukuu wewe, Happy birthday party yake wewe, outing wewe, ugonjwa wa familia yake wewe n.k achagui wapi pakuomba na wapi si pakuomba yaani ni hela heka acha tu
Haya Christine_1 tayari mwamba anataka hifadhi ya nafsi na pumziko la moyo kwenye ulimwengu wa peke yakekwenye hili Niko seriously buda
Huu ni wakati wangu
Ni kweliHakuna kanuni maalum.
Wanasemaga ukiona ke kakununulia kitu ujue kwako anapata mara 2 yake.Halafu wanawake hawajui tu
Yaani ukitaka mwanaume awe anakununulia vitu, anza wewe kumnunulia Kwa hela yako hiyohiyo hata kama ni kidogo.
Utaona atakavyokushangaza.
Njia Moja wapo ya kumfundisha mtu kutoa, ni wewe kuonyesha mfano wa kutoa.
Halafu sasa hela Zenyewe tunazowanunulia zawadi, ndio hizohizo ambazo baadaye mnatupa.
..
Hii inafanya kazi kwa real men
Siyo wale Marioo
🤣🤣🤣aah muanzisha uziHaya Christine_1 tayari mwamba anataka hifadhi ya nafsi na pumziko la moyo kwenye ulimwengu wa peke yake
Mkisaidiana/kupeana zawadi lazima mtapendana tu hata iwejeNi kweli
Ila hii hapa kwangu ilifanya kazi.
Nilimpa mtu zawadi.
Siku alivyoona kipato changu kulivyokuwa kiduchu kwa muhindi, na vile vitu nilivyompa, japo vilikuwa kidogo.
Ila aliona kuwa huyu mtu kweli yupo real.
Marisktaker huwa tunafanya kununua hata kabla ya kupata chochote.Wanasemaga ukiona ke kakununulia kitu ujue kwako anapata mara 2 yake.
Mkipendana kila kitu mtafanyiana kwa upendo.