M Mkirindi JF-Expert Member Mar 2, 2011 6,750 4,958 May 27, 2020 #101 Ninashangaa mpaka sasa mashabiki wa CDM na akina Kigogo, hawajampachika majina, matusi na hata kumzushia ni mradi wa magufuli kuiuwa chadema. Akishindwa Mbowe Kumstopisha, tutamsikia mzee mtei alisema haiwezekani Sent using Jamii Forums mobile app
Ninashangaa mpaka sasa mashabiki wa CDM na akina Kigogo, hawajampachika majina, matusi na hata kumzushia ni mradi wa magufuli kuiuwa chadema. Akishindwa Mbowe Kumstopisha, tutamsikia mzee mtei alisema haiwezekani Sent using Jamii Forums mobile app
Elpaul JF-Expert Member Jan 19, 2018 742 470 May 27, 2020 #102 Wanawake na maendeleo yuko wapi Amina Chifupa???
B balogun JF-Expert Member Jul 11, 2015 617 523 May 28, 2020 #103 BilioneaPATIGOO said: Mkuu wewe tukana, kufa ufufuke, jichome bisu, ccm will rule forever, hilo ukae ukijua cha msingi endelea kufanya ishu zako Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakuna, Mungu pekee ndio atatawala milele. CCM siku moja itafika mwisho.
BilioneaPATIGOO said: Mkuu wewe tukana, kufa ufufuke, jichome bisu, ccm will rule forever, hilo ukae ukijua cha msingi endelea kufanya ishu zako Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakuna, Mungu pekee ndio atatawala milele. CCM siku moja itafika mwisho.