Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

Unajua hii wizi ipo kitambo sana hata mimi niloshawahitapeliwa sasa sijui ndo huyo maana ni muda alilamba laki 9 zangu sasa sijui na mimi niende kumng'ang'ania. Daa ila Polisi watalishughulikia kwa ipasavyo kwani wana vitengo madhubuti kama cyber crime. Onyo watu wasijifanye bush loya wakaharibu kesi
 
Pascokwa jicho la tatu....hatukuwezi. You always see beyond breakfast...
 
Last edited by a moderator:
Aisee alafu mzuri kwi kwi wkiw kwi kwi kwi dawa yake unampeleka kwa mateja wampige mtungo
 
Mijitu mingine sijui hata imezaliwaje,
Alishanogewa kuiba, ngoja sasa wakamkomeshe.
 
Ah.mi nlidhani ndiye mwenye vifurushi vya mb 8.
 
Arudishe pesa zote alizoiba kwanza kama hana azifidie kwa namna nyingine.
 
kama sio Matege atakua miss chagga au yule naniliu yaani wa kule kwa wakwe zangu kabisa
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo wezi wote ni wachaga tu kwanini mmefikiria kuwa ni mchanga?
 
mbona wanaintelijesia watafidi unadhan uko machame ? uko bongo wape tigo upotee zko
 
Back
Top Bottom