anna mwakaringa
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 351
- 75
Duh mwanamke huyo wa kichaga nampa hongera coz anaitafuta hela kwa udi na uvumba ili aipate kwenda chooni safi sana mwanamke mwenzangu hiyo ni sawa na ajali kazini mama!!!
hrf anaonekana kama mchaga vile,
Huyu sio Mmachame, sio Muarusha, ni Msiha!, Wamachame hawana jicho zuri hivi!.
hrf anaonekana kama mchaga vile,
Imany, naomba unitendee haki!, haya ya kuitana kipenzi cha warembo sio!.Pasco kipenzi cha warembo habari za kuamka?
bigurube kuna makabila hayajifichi utawajua tu kwa kuwaaangalia mfano wachaga kwa miguu yao mibaya na matiti makubwa au rangi nyeupe,wahaya ,wapemba,wengine kwa mavazi na alama zao mfano wamasai,wagogo wenye ndonya,wamakonde wanaochanja chale,wadengereko pia wanachale karibu na masikio nkna wanawake wa mbeya na iringa kuwa kama mabaunsaKumbe Watanzania tunaweza kutambuana kabila kwa kuangalia sura ya mtu??? mdukuzi
bigurube kuna makabila hayajifichi utawajua tu kwa kuwaaangalia mfano wachaga kwa miguu yao mibaya na matiti makubwa au rangi nyeupe,wahaya ,wapemba,wengine kwa mavazi na alama zao mfano wamasai,wagogo wenye ndonya,wamakonde wanaochanja chale,wadengereko pia wanachale karibu na masikio nkna wanawake wa mbeya na iringa kuwa kama mabaunsa
Imany, naomba unitendee haki!, haya ya kuitana kipenzi cha warembo sio!.
Mimi niko just appreciative kwa yote, na appreciate beauty!, ku appreciate sio saws na kuwa kipenzi!.
Pasco
hrf anaonekana kama mchaga vile,
huenda akawa ndo miss chagga huyo maana kwa hela kashindikana mwanamke.......
Mchaga kabisa huyo