Ninatafuta kazi ya kuajiriwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki

McCarthy

JF-Expert Member
Aug 24, 2017
506
552
Salaamu wanajamvi?

Neema zoote kwa Baba Mungu/Allah.

Rejea kichwa cha mada hapo juu kama kinavyojieleza.

Kwamba, mimi ni kijana wa Kitanzania nikiwa kwenye 20's kiumri. Ninatafuta kazi ya kuajiriwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki na/au makampuni ya simu mathalani "NMB Bank", "CRDB Bank", "Access Bank-Tanzania", "Vodacom M-Pesa", "Airtel Money," "Tigo Pesa" miongoni mwa mengine yenye vinasaba vya namna hiyo.

VIGEZO VYANGU NI:

1. Nina uzoefu wa hii kazi kwa miaka 7 na miezi takribani 9 yaani tangu mwezi Octoba, 2011 mpaka Juni, 2019 nikiwa nahudumia kama "NMB Wakala", "CRDB Wakala", "Access Bank -Tanzania Wakala", "Vodacom M-pesa Wakala", "Airtel Money Wakala", "Tigo Pesa Wakala", "Halopesa Wakala" pamoja na huduma zingine ndogo-ndogo ambazo ni mazalia ya hizo huduma kuu.

2. Nina elimu ya kutosha juu ya masuala haya ya biashara za uwakala wa mabenki na makampuni ya mawasiliano ya simu katika kufanya miamala ya kifedha. Hii ni kwa sababu nimehudhuria semina na makongamano mbalimbali yatolewayo na makampuni husika kwa nyakati tofautitofauti kwa mawakala wao juu ya ufanyaji biashara; yaani

a) mahitaji muhimu ya kuzingatia kama wakala wa mambo ya kifedha (mwakilishi wa benki/kampuni ya mwasiliano ya simu),

b) mahusiano baina ya mteja na wakala.(ukarimu mkubwa lakini kwa tahadhari kulingana na mteja anavyokuja)

c) masuala ya usalama wa ofisi kwa ujumla wake wakati wa kazi na umakini wa wakala juu masuala ya usalama awapo kazini.

d) mbinu za kuwa wakala bora kieneo na kujikusanyia wateja wengi na hata kutunukiwa vyeti vya huduma na uzalishaji bora.

e) masuala ya matapeli wa kimtandao ambao huwa wanapiga simu moja kwa moja na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mawakala kutoka makao makuu na kumpa wakala maelekezo ambapo anaweza kujikuta anahamisha fedha (kama hana uzoefu); wateja matapeli wanaokuja ofisini kama wateja wa kawaida na mbinu zao (Nikiwa kazini nimepata visa vingi sana vya namna hii kwa ama kupigiwa simu na watu hao au wateja matapeli kuja kama wa kawaida ila kwa kuwa nilikuwa na uzoefu na elimu ya kutosha juu ya mambo hayo hawakufanikiwa)

f) makosa ya utakatishaji fedha na namna ya kuibaini na kudili na miamala ya namna hiyo. Kwa kufuata maelekezo ya benki au kampuni ya mawasiliano ya simu kwa kuzingatia sheria za nchi.

3. Najua mbinu mbalimbali za kufanya biashara hii kutokana na uzoefu wangu na mwajiri hatojutia. Mfano: anaweza kuwa na mtaji wa kawaida tu lakini akazalisha sana kama kuna wateja wengi eneo la biashara. Hii naweza kufanya kwa kubadilishana "float" au "cash" kupitia "super agents" wa makampuni husika au kuhamishia "float" benki na kupokea "cash" na kinyume chake(kama benki ipo jirani(hususani kwa maeneo ya mjini) Kwa kutumia "Agent's Till (second till)", etc.

4) Napenda kazi hii kwa dhati kwa sababu naijua vizuri.

Kama wewe ni ama mwajiri au vinginevyo, tukutane "inbox" kwa mawasiliano na maelezo zaidi.

Nawasilisha.
 
Salamu wanajamvi?
Rejea kichwa cha mada hapo juu kama kinavyojieleza.
Kwamba, mimi ni kijana wa Kitanzania nikiwa kwenye 20's kiumri. Ninatafuta kazi ya kuajiliwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki na/au makampuni ya simu mathalani NMB Bank, CRDB Bank, Access Bank-Tanzania, Vodacom M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa miongoni mwa mengine yenye vinasaba vya namna hiyo.
VIGEZO VYANGU NI:
1. Nina uzoefu wa hii kazi kwa miaka 7 na miezi takribani 9 yaani tangu mwezi Octoba, 2011 mpaka Juni, 2019 nikiwa nahudumia kama NMB Wakala, CRDB Wakala, Access Bank -Tanzania Wakala, Vodacom M-pesa Wakala, Airtel Money Wakala, Tigo Pesa Wakala Halopesa Wakala pamoja na huduma zingine ndogo-ndogo ambazo ni mazalia ya hizo huduma kuu.
2. Nina elimu ya kutosha juu ya Masuala haya ya biashara za uwakala wa mabenki na makampuni ya mawasiliano ya simu katika kufanya miamala ya kifedha. Hii ni kwa sababu nimehudhuria semina na makongamano mbalimbali yatolewayo na makampuni husika kwa nyakati tofautitofauti kwa mawakala wao juu ya ufanyaji biashara; yaani
a) mahitaji muhimu ya kuzingatia kama wakala wa mambo ya kifedha (mwakilishi wa benki/kampuni ya mwasiliano ya simu),
b) mahusiano baina ya mteja na wakala.(ukarimu mkubwa lakini kwa tahadhari kulingana na mteja anavyokuja)
c) masuala ya usalama wa ofisi kwa ujumla wake wakati wa kazi na umakini wa wakala juu masuala ya usalama awapo kazini.
d) mbinu za kuwa wakala bora kieneo na kujikusanyia wateja wengi na hata kutunukiwa vyeti vya huduma na uzalishaji bora.
e) masuala ya matapeli wa kimtandao ambao huwa wanapiga simu moja kwa moja na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mawakala kutoka makao makuu na kumpa wakala maelekezo ambapo anaweza kujikuta anahamisha fedha (kama hana uzoefu); wateja matapeli wanaokuja ofisini kama wateja wa kawaida na mbinu zao (Nikiwa kazini nimepata visa vingi sana vya namna hii kwa ama kupigiwa simu na watu hao au wateja matapeli kuja kama wa kawaida ila kwa kuwa nilikuwa na uzoefu na elimu ya kutosha juu ya mambo hayo hawakufanikiwa)
f) makosa ya utakatishaji fedha na namna ya kuibaini na kudili na miamala ya namna hiyo. Kwa kufuata maelekezo ya benki au kampuni ya mawasiliano ya simu kwa kuzingatia sheria za nchi.
3. Najua mbinu mbalimbali za kufanya biashara hii kutokana na uzoefu wangu na mwajiri hatojutia. Mfano: anaweza kuwa na mtaji wa kawaida tu lakini akazalisha sana kama kuna wateja wengi eneo la biashara. Hii naweza kufanya kwa kubadilishana float au cash kupitia super agents wa makampuni husika au kuhamishia float benki na kupokea cash na kinyume chake(kama benki ipo jirani(hususani kwa maeneo ya mjini) Kwa kutumia Agent's Till (second till), etc.
4) Napenda kazi hii kwa dhati kwa sababu naijua vizuri.
Kama wewe ni ama mwajiri au vinginevyo, tukutane "inbox" kwa mawasiliano na maelezo zaidi.
Nawasilisha.
Kila la kher
 
Salaamu wanajamvi?

Neema zoote kwa Baba Mungu/Allah.

Rejea kichwa cha mada hapo juu kama kinavyojieleza.

Kwamba, mimi ni kijana wa Kitanzania nikiwa kwenye 20's kiumri. Ninatafuta kazi ya kuajiriwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki na/au makampuni ya simu mathalani "NMB Bank", "CRDB Bank", "Access Bank-Tanzania", "Vodacom M-Pesa", "Airtel Money," "Tigo Pesa" miongoni mwa mengine yenye vinasaba vya namna hiyo.

VIGEZO VYANGU NI:

1. Nina uzoefu wa hii kazi kwa miaka 7 na miezi takribani 9 yaani tangu mwezi Octoba, 2011 mpaka Juni, 2019 nikiwa nahudumia kama "NMB Wakala", "CRDB Wakala", "Access Bank -Tanzania Wakala", "Vodacom M-pesa Wakala", "Airtel Money Wakala", "Tigo Pesa Wakala", "Halopesa Wakala" pamoja na huduma zingine ndogo-ndogo ambazo ni mazalia ya hizo huduma kuu.

2. Nina elimu ya kutosha juu ya masuala haya ya biashara za uwakala wa mabenki na makampuni ya mawasiliano ya simu katika kufanya miamala ya kifedha. Hii ni kwa sababu nimehudhuria semina na makongamano mbalimbali yatolewayo na makampuni husika kwa nyakati tofautitofauti kwa mawakala wao juu ya ufanyaji biashara; yaani

a) mahitaji muhimu ya kuzingatia kama wakala wa mambo ya kifedha (mwakilishi wa benki/kampuni ya mwasiliano ya simu),

b) mahusiano baina ya mteja na wakala.(ukarimu mkubwa lakini kwa tahadhari kulingana na mteja anavyokuja)

c) masuala ya usalama wa ofisi kwa ujumla wake wakati wa kazi na umakini wa wakala juu masuala ya usalama awapo kazini.

d) mbinu za kuwa wakala bora kieneo na kujikusanyia wateja wengi na hata kutunukiwa vyeti vya huduma na uzalishaji bora.

e) masuala ya matapeli wa kimtandao ambao huwa wanapiga simu moja kwa moja na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mawakala kutoka makao makuu na kumpa wakala maelekezo ambapo anaweza kujikuta anahamisha fedha (kama hana uzoefu); wateja matapeli wanaokuja ofisini kama wateja wa kawaida na mbinu zao (Nikiwa kazini nimepata visa vingi sana vya namna hii kwa ama kupigiwa simu na watu hao au wateja matapeli kuja kama wa kawaida ila kwa kuwa nilikuwa na uzoefu na elimu ya kutosha juu ya mambo hayo hawakufanikiwa)

f) makosa ya utakatishaji fedha na namna ya kuibaini na kudili na miamala ya namna hiyo. Kwa kufuata maelekezo ya benki au kampuni ya mawasiliano ya simu kwa kuzingatia sheria za nchi.

3. Najua mbinu mbalimbali za kufanya biashara hii kutokana na uzoefu wangu na mwajiri hatojutia. Mfano: anaweza kuwa na mtaji wa kawaida tu lakini akazalisha sana kama kuna wateja wengi eneo la biashara. Hii naweza kufanya kwa kubadilishana "float" au "cash" kupitia "super agents" wa makampuni husika au kuhamishia "float" benki na kupokea "cash" na kinyume chake(kama benki ipo jirani(hususani kwa maeneo ya mjini) Kwa kutumia "Agent's Till (second till)", etc.

4) Napenda kazi hii kwa dhati kwa sababu naijua vizuri.

Kama wewe ni ama mwajiri au vinginevyo, tukutane "inbox" kwa mawasiliano na maelezo zaidi.

Nawasilisha.
0713555032 mpigie huyu boss
 
0713555032 mpigie huyu boss
Mkuu kwanza nashukuru sana kwa moyo wako wa kiungwana ulionao kwani naamini kuwa una dhamira ya dhati kabisa kunisaidia ndiyo maana ukatoa namba ya simu.

Hata hivyo sijafanikiwa kupata fursa ya kazi kwa mtu huyo kwani amesema, kwa unyenyekevu mkubwa mno, kuwa hana fursa ya kazi hiyo na hajawahi kuwa na fursa za kazi kama hizo nilizozitaja.

Je, mkuu hii namba una uhakika nayo?
 
KWA MFANO NIKIKUPA KAZI YA UWAKALA, MSHAHARA UTATAKA SH NGAP KWA MWEZI
Kwa kuwa malipo ya wakala yanatokana na kamisheni hivyo yanaweza kubadilikabadilika kila mwezi kulingana na thamani ya miamala wakala amefanya kwa mwezi husika, nadhani kulipa kwa asilimia fulani ya kamisheni inayopatikana ni bora zaidi. Hivyo inaweza kuwa 30% au 35% ya kamisheni nzima ya mwezi husika. (Aidha, pia inaathiriwa na namna tutakubaliana kulingana na mazingira ya ufanyaji kazi na hali halisi ya mazingira ya kibiashara)
 
Kwa kuwa malipo ya wakala yanatokana na kamisheni hivyo yanaweza kubadilikabadilika kila mwezi kulingana na thamani ya miamala wakala amefanya kwa mwezi husika, nadhani kulipa kwa asilimia fulani ya kamisheni inayopatikana ni bora zaidi. Hivyo inaweza kuwa 30% au 35% ya kamisheni nzima ya mwezi husika. (Aidha, pia inaathiriwa na namna tutakubaliana kulingana na mazingira ya ufanyaji kazi na hali halisi ya mazingira ya kibiashara)
OKAY MKUU NIMEKUPATA, NASET MIPANGO IKIWA SAWA...TUTAWASILIANA
 
Ndio ivo mkuu kujiajiri ishakuwa ngumu pia siku hizi, ni mpaka ujitoe sana au uwe chizi.
Shida iko wapi?
Kwa sababu Kuna wale mawakala wa barabarani kwenye vibanda mitaji yao ya kuanzia huwa ni chini ya laki 5.
Wewe ni kwa nini nguvu unazotumia kuuza biashara za watu wengine usizitumie kuanzisha biashara yako mwenyewe.
 
Shida iko wapi?
Kwa sababu Kuna wale mawakala wa barabarani kwenye vibanda mitaji yao ya kuanzia huwa ni chini ya laki 5.
Wewe ni kwa nini nguvu unazotumia kuuza biashara za watu wengine usizitumie kuanzisha biashara yako mwenyewe.
Boss wewe unasema tu ujajua kuhusu kuanza biashara
 
Boss wewe unasema tu ujajua kuhusu kuanza biashara
Najua mkuu Mimi sio mgeni ktk haya mambo.
Kuna vibanda vingi mtaani hata leseni hawana mkuu na wanaendesha maisha yao kupitia hizo.
Au wewe ulitakaka uniambie wale watu wanaowekaga meza barabarani na miamvuli halaf wanatoa huduma za kuuza vocha na mpesa Wana leseni wale?au mitaji yao inavuka milioni wale?
 
Salaamu wanajamvi?

Neema zoote kwa Baba Mungu/Allah.

Rejea kichwa cha mada hapo juu kama kinavyojieleza.

Kwamba, mimi ni kijana wa Kitanzania nikiwa kwenye 20's kiumri. Ninatafuta kazi ya kuajiriwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki na/au makampuni ya simu mathalani "NMB Bank", "CRDB Bank", "Access Bank-Tanzania", "Vodacom M-Pesa", "Airtel Money," "Tigo Pesa" miongoni mwa mengine yenye vinasaba vya namna hiyo.

VIGEZO VYANGU NI:

1. Nina uzoefu wa hii kazi kwa miaka 7 na miezi takribani 9 yaani tangu mwezi Octoba, 2011 mpaka Juni, 2019 nikiwa nahudumia kama "NMB Wakala", "CRDB Wakala", "Access Bank -Tanzania Wakala", "Vodacom M-pesa Wakala", "Airtel Money Wakala", "Tigo Pesa Wakala", "Halopesa Wakala" pamoja na huduma zingine ndogo-ndogo ambazo ni mazalia ya hizo huduma kuu.

2. Nina elimu ya kutosha juu ya masuala haya ya biashara za uwakala wa mabenki na makampuni ya mawasiliano ya simu katika kufanya miamala ya kifedha. Hii ni kwa sababu nimehudhuria semina na makongamano mbalimbali yatolewayo na makampuni husika kwa nyakati tofautitofauti kwa mawakala wao juu ya ufanyaji biashara; yaani

a) mahitaji muhimu ya kuzingatia kama wakala wa mambo ya kifedha (mwakilishi wa benki/kampuni ya mwasiliano ya simu),

b) mahusiano baina ya mteja na wakala.(ukarimu mkubwa lakini kwa tahadhari kulingana na mteja anavyokuja)

c) masuala ya usalama wa ofisi kwa ujumla wake wakati wa kazi na umakini wa wakala juu masuala ya usalama awapo kazini.

d) mbinu za kuwa wakala bora kieneo na kujikusanyia wateja wengi na hata kutunukiwa vyeti vya huduma na uzalishaji bora.

e) masuala ya matapeli wa kimtandao ambao huwa wanapiga simu moja kwa moja na kujitambulisha kama watoa huduma kwa mawakala kutoka makao makuu na kumpa wakala maelekezo ambapo anaweza kujikuta anahamisha fedha (kama hana uzoefu); wateja matapeli wanaokuja ofisini kama wateja wa kawaida na mbinu zao (Nikiwa kazini nimepata visa vingi sana vya namna hii kwa ama kupigiwa simu na watu hao au wateja matapeli kuja kama wa kawaida ila kwa kuwa nilikuwa na uzoefu na elimu ya kutosha juu ya mambo hayo hawakufanikiwa)

f) makosa ya utakatishaji fedha na namna ya kuibaini na kudili na miamala ya namna hiyo. Kwa kufuata maelekezo ya benki au kampuni ya mawasiliano ya simu kwa kuzingatia sheria za nchi.

3. Najua mbinu mbalimbali za kufanya biashara hii kutokana na uzoefu wangu na mwajiri hatojutia. Mfano: anaweza kuwa na mtaji wa kawaida tu lakini akazalisha sana kama kuna wateja wengi eneo la biashara. Hii naweza kufanya kwa kubadilishana "float" au "cash" kupitia "super agents" wa makampuni husika au kuhamishia "float" benki na kupokea "cash" na kinyume chake(kama benki ipo jirani(hususani kwa maeneo ya mjini) Kwa kutumia "Agent's Till (second till)", etc.

4) Napenda kazi hii kwa dhati kwa sababu naijua vizuri.

Kama wewe ni ama mwajiri au vinginevyo, tukutane "inbox" kwa mawasiliano na maelezo zaidi.

Nawasilisha.
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Huduma ya kutafutiwa kazi ni Tsh 10 000 tu. 0769 524 022
 
Back
Top Bottom