Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

Mwanamama Tapeli wa Vodacom Akamatwa Dar

...huyu atakuwa kaanza utapeli baada ya kukosa wq kumkuna si bure
 
huyo kama sio mmachame muarusha
View attachment 227513[/QUOTE]
Huyu sio Mmachame, sio Muarusha, ni Msiha!, Wamachame hawana jicho zuri hivi!.

Hata hivyo wanamsingizia bure tuu dada wa watu!, kwa hii sura mimi nilivyoiangalia tuu, haiwezikana dada huyu kuwa mwizi!.

Kwa msio jua sheria, everybody is presumed to be innocent until proven guilt, hivyo acheni kumsakama bure dada rembo wa watu bado hana hatia yoyote!.

Pasco
 
Vilaza wengine ni -------!


Huyu sio Mmachame, sio Muarusha, ni Msiha!, Wamachame hawana jicho zuri hivi!.

Hata hivyo wanamsingizia bure tuu dada wa watu!, kwa hii sura mimi nilivyoiangalia tuu, haiwezikana dada huyu kuwa mwizi!.

Kwa msio jua sheria, everybody is presumed to be innocent until proven guilt, hivyo acheni kumsakama dada wa watu bado hana hatia yoyote!.

Pasco
 
kweli mjini shule,duu hata uoga hana...!?

Du! uoga wa nini ni kitu amezoea kufanya? ni kama yule dr. feki aliekamatwa muhimbili, alikamatwa mara ya kwanza sijui kafanyajefanyaje akawa huru akarudi tena akakamatwa mara ya pili, na kama ni mchaga basi machame, wanawake wa kimachame ni nuksi balaa, utapiga atatoa ukunga tu lakini hata chozi hamna..!!
 
Du! uoga wa nini ni kitu amezoea kufanya? ni kama yule dr. feki aliekamatwa muhimbili, alikamatwa mara ya kwanza sijui kafanyajefanyaje akawa huru akarudi tena akakamatwa mara ya pili, na kama ni mchaga basi machame, wanawake wa kimachame ni nuksi balaa, utapiga atatoa ukunga tu lakini hata chozi hamna..!!
Matunda ya Ufisadi wa ccm yanaanza kuonekana
 
mb 8 ni wizi pia tutafurahi mkiuhushughulikia kwa kutumia intelejinsia zenu.
 
Namfaham sana huyu dada ni mgum kutoa papuchi kumbe tapeli dah
 
alidakwaje huyu mwanamke mi pia ni wakala so mnakazania kuseema mchaga mchaga alikuwa anaiba kwa njjia gan maana sijaelewa mtoa mada anasema nini lazma aje physical au ndo wale wanaopiga simu siku ya tukio aliiba ama naona mmekomaa mchaga mchaga mchaga soooo what,hata wahaya wapo kwenye top rank ya wiz maana escro wao ndo wako front linei
 
Back
Top Bottom