Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Huyu mjinga alikua anasema yeye haogopi kitu na wajinga wenzake walikua wanamuunga mkono,na hapo utakuta ni chawa tu wamempapasa katoa mlio hivyo je angekutana na wazee wa kazi.Waliokua wanamjaza ujinga wamekaa pembeni anaugulia maumivu mwenyewe.Hakunaga ushujaa kwenye ujinga.Jinga kabisa.
 
Huyu mjinga alikua anasema yeye haogopi kitu na wajinga wenzake walikua wanamuunga mkono,na hapo utakuta ni chawa tu wamempapasa katoa mlio hivyo je angekutana na wazee wa kazi.Waliokua wanamjaza ujinga wamekaa pembeni anaugulia maumivu mwenyewe.Hakunaga ushujaa kwenye ujinga.Jinga kabisa.
Mtu ana mtoto anahitaji malezi ya baba, unakuja kuacha yatima hivihivi kwa ajili ya kuwafurahisha wapambe. Wapambe wanamuita Kamanda naye anajiona Kamanda kweli, kumbe pimbi tu
 
Kama hujiwezi achana na Wazee wa kazi narudia kama ubalozi wa ubeljiji hawakujui acha harakati Bongo utawapa tabu masikini wenzio.
 
Kwahiyo mmekubali yapite ya Mdude kufa....kwamba ni sawa kuuliwa kisa alitukana dola? Duuuh
Wampeleke gerezani huko kisheria akapate anachostahili
Kabla hujaanza harakati, fungua simu yako angalia “contacts” kwenye simu yako usipokuwa na namba ya balozi wa Marekani, balozi wa ubeljiji na Amsterdam yule mwanasheria acha maramoja harakati , fanya mambo mengine kama kilimo au uvuvi… kabla hujawapa shida familia yako
 
Matusi matusi hebu mtuambie hayo matusi aliyoyatukana
Tundu Lissu ambaye yuko jela anasikiliza kesi yake akiwa anatetewa na wanasheria zaidi ya mia moja , alichapwa risasi mchana kweupeeee…Sasa hawa wanaharakati ambao hakuna anaewajua watafanyajwe, watawahishwa kabla siku zao malaika mtoa roho hana haja ya ushahidi wa matusi.
 
Mkuu kutumia ID tofauti itakusaidia tu kuvuta muda kabla ya kukamatwa ila haikupi uhakika wa kutokamatwa.
Wanawapa shida sana familia zao na wakikuona wanakuadhibu unaomba omba misaada pigo la pili hawakukosi hata kwa heri hutapata muda wa kusema , kama yule dogo alichoma picha , akahukumiwa wakamtolea dhamana , mpka leo hajulikani alipo
 
kuhusu busara kwenye ukosoaji hata humu kajitabia kapo. nyakati nyingine wenye mioyo miepesi ndio huchukua sheria mkononi. humu ndani pamoja na purukushani zote za kiitikadi sijawahi kumuona #Lucas mwashamba, akimshambulia mtu kwa dhihaka. hongera kwako lucas kwa kuhandle hili, maana unajua ukikengeuka utapelekwa nyuma ya nondo.
Umeamua kuja kujisifia kwa ID nyingine?
 
Kwahiyo mmekubali yapite ya Mdude kufa....kwamba ni sawa kuuliwa kisa alitukana dola? Duuuh
Wampeleke gerezani huko kisheria akapate anachostahili
Mitandao ya jamii ni mahaklli salama bila Mdude
 
Nitalia kila siku Kwa kuwaombea hawa wadogo zetu wawe na hekima sasa mtu kama huyu na hizo yeboyebo anapata wapi ujasiri wa kutukana watu ikiwa milioni tu Hana
Nawewe unaamini kuwa huyo mtu kavunjwa ya kwa jinsi alivo hivo..ukute anataka kupiga hela
 
Tulimwambia kausha tu, huwezi kupambana nao ukiwa alone wewe unajifanya Rambo tu. Si ajabu wamemfira ila hawezi kusema tu.
Ahague vita zake vizuri na azipigane vyema, asizozimudu aachane nazo.

Tunamshauri hasikii ..kama hata Gwajima hawawezi then who are you? 🙄
Hivi ni kweli jamaa huwa wanafira..??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom