Labda amegundua kuwa akiitisha followers wake kuwa kaumizwa watamchangia kama walivyomchangia alivyotoka jelaAnasema ameumizwa na hajitambui mbona anaweza kuandika huko mtandaoni?
Juzi mlisifia ngumi za baunsa wa heche, leo mnataka sheriaKama kuna makosa kafanya nadhani adhabu yake sio hiyo bali ni sheria kuchukua mkondo wake
Kujichukulia Sheria mkononi ni kosa lakini tuishi Kwa tahadhariMimi mwenzenu huwa napenda wakuu mngekuwa mnatuorodheshea hayo matusi Ili tuyaone hata Mimi sipendi matusi hata hivyo mahakama ndio inayohukumu sio vizuri kujichukulia sheria mkononi
Zile zilikuwa Self defenceJuzi mlisifia ngumi za baunsa wa heche, leo mnataka sheria
Double standards
Hilo bandeji kichwani arakuwa kaiibandika apate hela tuAnasema ameumizwa na hajitambui mbona anaweza kuandika huko mtandaoni?
Tulimwambia kausha tu, huwezi kupambana nao ukiwa alone wewe unajifanya Rambo tu. Si ajabu wamemfira ila hawezi kusema tu.Watu ambao hawajifunzi kwa wenzao sijui watajifunza wapi tena
Mambo yakutaka kuonekana shujaa mbele ya dola yatawaponza sana
Peruzi hapa kwenye page yake, utafurahi mwenyeweMimi mwenzenu huwa napenda wakuu mngekuwa mnatuorodheshea hayo matusi Ili tuyaone hata Mimi sipendi matusi hata hivyo mahakama ndio inayohukumu sio vizuri kujichukulia sheria mkononi
hata Mimi siwezi kumuonea huruma mtu muongo na mpotoshaji kama wewe. Kazi ya majitu kama wewe ni kuwaimbia na kusifu wauaji na wezi.Lina matusi sana hilo lijamaa. Hata siwezi kulionea huruma kwa lolote lile
Wote wawili ni HAMNAZO. Huwezi kufanya harakati za matusi dhidi yavSerikali huku ukiwa UNMASKEDWewe ni mtu usiyejulikana?
Unamaanisha nini unaposema kama alivyokuwa Mdude Nyagali?
Mdude Nyagali mpaka leo hajulikani kama yupo au hayupo, na wewe umekuja na andiko lente kiashiria cha wewe unajua Mdude alipo, imma mmemuuwa na ama mmemficha
Wewe unahitaji kufwatiliwa kwa ukaribu