Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Asante kwA tahadhari
Matala ni mjanja mjanja kule Twitter Alishawahi Kupata kashfa kumtapeli mtu pesa ya ununuzi wa gari Yeye akiwa kama dalali ,


Msiwe mnaamini Kila kitu kilichopo mitandaoni,

Halafu kule Twitter Kuna baadhi ya watu wa Arabia ya kucreate matatizo ili waweze kuchangiwa pesa

Japo kuwa sikatai kwamba Kuna watu wapo ambao huwa na matatizo kweli,

Narudia tena kuweni majini matala ni mjanja mjanja sana ana kesi nyingi za upigaji kule Twitter, anatumia sympathy ya jamii kujinufaisha sometimes
 
Japo serikali ilimfanyia vibaya pale mwanzo lakini alikosa kabisa busara. Kauli zake zilikuwa za kutukana serikali, polisi na kila mtu anayempinga na kumshauri. Kwa serikali zetu hizi hilo ni hatari, alitakiwa kuwa na busara
Ukimshauri aachane na matusi, ana ku-block
 
Ndio nani kwanza huyo Matala wenu?
Ni mwanqharakati wa Twitter. Mwaka 2022 alifungwa jela kuchapisha uwongo na kisha wana Twitter wakamchangia akatoka jela. Alipotoka amekuwa mtu wa matusi kwa Polisi, viongozi wa Serikali nk. Mrengo wake wa kisiasa ni CHADEMA ndiyo anaishbikia sana sera zake kama SATIVA
 
Ni mwanqharakati wa Twitter. Mwaka 2022 alifungwq jela kuchapisha uwongo na kisha wana Twitter wakamchangia akatoka jela. Alipotoka amekuwa mtu wa matusi kwa Polisi, viongozi wa Serikali nk. Mrengo wake wa kisiasa ni CHADEMA ndiyo anaishbikia sana sera zake kama SATIVA
Atajua mwenyewe na wanaomtuma.
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Afie zake mbali huko, mtu badala ya kuishi maisha yako, anakuwa bize kupambana na mamlaka, wangemf......r..a.. kabisa pumbavu!
 
kuhusu busara kwenye ukosoaji hata humu kajitabia kapo. nyakati nyingine wenye mioyo miepesi ndio huchukua sheria mkononi. humu ndani pamoja na purukushani zote za kiitikadi sijawahi kumuona #Lucas mwashamba, akimshambulia mtu kwa dhihaka. hongera kwako lucas kwa kuhandle hili, maana unajua ukikengeuka utapelekwa nyuma ya nondo.
Mbona anashambulia na kutukana kwenye ID zake nyingine fake?
 
Hii siyo post ya kuomba pesa bali ni post ya tukio lililompata mwanaharakati wa matusi. Kuna cha kujifunza kwa wengine
Hiyo akaunti yake aliyoiweka ni kwa ajili ya kumuingizia matusi? Wewe unaviashiria vya kipolisi, lori lipinduka likitoka kwenye chanjo, rais; lori lilipinduka wakienda kwenye mkutano wetu.
 
Wewe poyoyo tu ..waungwana washamchangia na kiasi kilichosalia ni Tzs. 563,050

Screenshot_20250618-154218.jpg
 
Afie zake mbali huko, mtu badala ya kuishi maisha yako, anakuwa bize kupambana na mamlaka, wangemf......r..a.. kabisa pumbavu!
Alikwsha firww ndiyo maana kachafukwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom