Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Hilo bwege lifungwe maisha, ni aibu kijana mdg hvyo hataki kufanya kazi.
 
Wewe ni mtu usiyejulikana?

Unamaanisha nini unaposema kama alivyokuwa Mdude Nyagali?

Mdude Nyagali mpaka leo hajulikani kama yupo au hayupo, na wewe umekuja na andiko lente kiashiria cha wewe unajua Mdude alipo, imma mmemuuwa na ama mmemficha

Wewe unahitaji kufwatiliwa kwa ukaribu
Afuatiliwe na nani mzee
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Kwa hiyo mlitaka kumuua kama mlivyomuua Mdude Nyagali ili Mzanzibari aendelee kuitawala Tanganyika yetu.
 
Nilisikiliza ishu moja inasema hivi;

Ukija na bunduki na mimi nikija na bunduki tutajadiliana juu ya sheria na matakwa yake.

Ukija na kisu na mimi nikija na kisu tutajadiliana juu ya kanuni.

Ukija mikono mitupu na mimi nikija mikono mitupu tutajadiliana kwa hoja.

Ukija na bunduki mimi nikija mikono mitupu wewe utakua haujashika silaha utakua umeshika uhai wangu.

Sasa hawa wenzetu wanaenda mikono mitupu, hawatoi hoja ila matusi na kashfa halafu wenzao wameshika bunduki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom