Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Mwanaharakati Japhet Mattara aumizwa, anahitaji msaada

Matala ni mjanja mjanja kule Twitter Alishawahi Kupata kashfa kumtapeli mtu pesa ya ununuzi wa gari Yeye akiwa kama dalali ,


Msiwe mnaamini Kila kitu kilichopo mitandaoni,

Halafu kule Twitter Kuna baadhi ya watu wa Arabia ya kucreate matatizo ili waweze kuchangiwa pesa

Japo kuwa sikatai kwamba Kuna watu wapo ambao huwa na matatizo kweli,

Narudia tena kuweni majini matala ni mjanja mjanja sana ana kesi nyingi za upigaji kule Twitter, anatumia sympathy ya jamii kujinufaisha sometimes
 
Lina matusi sana hilo lijamaa. Hata siwezi kulionea huruma kwa lolote lile
Kama hupendi matusi/kutukanwa; hakikisha una busara na akili! Ila ukiendelea kuwa kilaza, tambua fika utatukanwa mpaka na watoto wako! Na wewe kazi yako kubwa itakuwa ni kuua, kufunga, kupoteza, kutesa, na vichambo tu.

Au wakati unapitia hatua za ukuaji, uliwahi kumuona mtoto mwenzako/kaka/dada yako mwenye akili na anaye jitambua, anatukanwa hovyo na wqzazi au walezi wake?
 
Japo serikali ilimfanyia vibaya pale mwanzo lakini alikosa kabisa busara. Kauli zake zilikuwa za kutukana serikali, polisi na kila mtu anayempinga na kumshauri. Kwa serikali zetu hizi hilo ni hatari, alitakiwa kuwa na busara
 
View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
Da!! pole sana ndugu yangu,,jamani mjitahidi kutoikosoa serikali,hamuoni nyakati zimebadilika?
 
Hilo bwege lifungwe maisha, ni aibu kijana mdg hvyo hataki kufanya kazi.
Anadai ni Engineer halafu anauza magari kwa mtandao, yaani ni dalali. Hata mimi nina doubt kuwa siyo Engineer. Hakuna Engineer mzembe vile
 
Wabongo bwana yaani mtu akiwa na kilaptop chake tu basi ni mwanaharakati
Wacha laptop, akiwa tu na Oppo au Techno ya Tsh 80,000 anaingia mtandaoni na kuanza harakati
 
Kwa hiyo mlitaka kumuua kama mlivyomuua Mdude Nyagali ili Mzanzibari aendelee kuitawala Tanganyika yetu.
Tanganyika ili cease kuwapo tarehe 26/ 04/ 1964 kabla hujazaliwa. Kasome Katiba, hizi harakati uchwara ndiyo zinawaponza
 
Nilisikiliza ishu moja inasema hivi;

Ukija na bunduki na mimi nikija na bunduki tutajadiliana juu ya sheria na matakwa yake.

Ukija na kisu na mimi nikija na kisu tutajadiliana juu ya kanuni.

Ukija mikono mitupu na mimi nikija mikono mitupu tutajadiliana kwa hoja.

Ukija na bunduki mimi nikija mikono mitupu wewe utakua haujashika silaha utakua umeshika uhai wangu.

Sasa hawa wenzetu wanaenda mikono mitupu, hawatoi hoja ila matusi na kashfa halafu wenzao wameshika bunduki
Nukuu safi sana, nitaiazima siku moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom