Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 7,580
- 14,507
Watu wana support mtu kupigwa au kuuawa kwa sababu katukana au kakosoa watawala, kubalini tuu bongo bado mnaishi Stone Age
Nitajie nchi ambayo unatukana kiongozi una unaachwa tuWatu wana support mtu kupigwa au kuuawa kwa sababu katukana au kakosoa watawala, kubalini tuu bongo bado mnaishi Stone Age
Hukumu ya matusi kwa sheria za CCM ni kipigo na kufira watu, sivyo? Kwanini asipelekwe Mahakamani?Anatukana kila mtu kama mwehu huko X. Alichopata kinamstahili ili ajifunze kukosoa au kipingana na watu kwa adabu.
SASA KAMA MTU ANATAKA APEWE HIZO ADHABU MNAMPELEKA MAHAKAMANI KUFANYA NINI ACHA TU WAMSODOME WAJANJAHukumu ya matusi kwa sheria za CCM ni kipigo na kufira watu, sivyo? Kwanini asipelekwe Mahakamani?
Zipo nyingi sana and all of Western Europe, North America hawana huo upumbavu, hata jirani zako South Africa,Botswana walishaachana na huo ubwege, ni nyie tuu na maskini wenzako msio na akili kama Burundi na Congo etcNitajie nchi ambayo unatukana kiongozi una unaachwa tu
Pale X nafikiri unaweza block mtu, sio kumpiga karibu kumuua na kumfunga, matusi sio jinaiHuyu si alichangiwa ili atoke jela, duuh aiseee,naona bado wanamtafuta........ anyway pale X anatumia lugha isiyo sawa kutoa maoni yake, nadhani tunaweza kukosoa kwa lugha nzuri tu
Naungana na wewe, sheria ipo na siyo kutumia njia za kihalifuKama kuna makosa kafanya nadhani adhabu yake sio hiyo bali ni sheria kuchukua mkondo wake
Ni sahihi, lakini kwa nchi hizi zetu ambazo bado kuna watu wameshika mpini na wengi makali lazima uwe makini kuepuka kuacha wajane na watoto bila msaada,hata Samia anablock,so lazima unachofanya ujue na end product yakePale X nafikiri unaweza block mtu, sio kumpiga karibu kumuua na kumfunga, matusi sio jinai
Kumbe una vimelea vya ushogga?View attachment 3373931View attachment 3373932 Namuona ni "poyoyo" kwa sababu mwaka 2022 alichapisha habari za uwongo kwenye Twitter akashtakiwa na kafungwa bada ya kukosa fedha za kulipa faini. Mwaka 2024 akachangiwa na wana Twitter na akatoka. Baada ya kuachiwa jela amekuwa ni mtu wa kutukana na kukshifu mamlaka kama alivyokuwa Mdude_Nyagali.
watatujazia tu mahabusu, tumlishe lissu nayeye tena, hamnaKama kuna makosa kafanya nadhani adhabu yake sio hiyo bali ni sheria kuchukua mkondo wake
ukiamua kupambana na dola jua na jinsi ya kujikinga sio utupe tena sisi kazi ya kukulinda, henche anabodigadi anapiga ngumi balaa,Anayethubutu kujiita mwanaharakati ndani ya bara giza hajitambui na kamwe hastahili huruma. Futility at best.