MwanaHalisi: Nini Kinaendelea

MwanaHalisi: Nini Kinaendelea

Asante wakuu!
Nimewasoma vizuri.
Magazeti ambayo sinunui kwa pesa yangu yanaongezeka kwa kasi-kutokana na kukosa viwango.
Nilipokuwa mwanafunzi pale Mlimani nilikuwa Punch mzuri tu.
Unabandiko andiko lako na kusepa, bila kujua athari zake baadaye-uhuru wa woga.
Leo Mwanahalisi ukurasa wa mbele habari ya Sita haina mwandishi, hata ile ya ndani-uandishi wa woga huo.
Wakuu magreat thinker kama mnaona hilo ni sawa basi hata Ugreat thinker wenu unashuka viwango kwa kasi.
Ukurasa wa sita kuna mwandishi....... Fred Okoth na hata kabla ya hapo kuna maelezo (Uk 3 para 5) yanasema hivi ...... nanukuu... WAZIRI HUYU WA AFRIKA MASHARIKI ANAJUWA FIKA KWAMBA GAZETI LA MWANAHALISI, WAMILIKI WAKE, WAANDISHI WAKE HAWANA MKATABA NAYE WA KUMWANDIKA ANAYOTAKA. SISI TUKO KAZINI. TUNAANGALIA WALE TUNAOWATUMIKIA; NAO NI UMMA WA TANZANIA NA JAMII PANA. SIYO SAMWEL SITTA WA URAMBO, KIBARUA KATIKA SERIKALI YA RAIS JAKAYA KIKWETE.... mwisho wa kunukuu. Hivi great THINKER anashindwa kujuwa kuwa kabla ya hapo kwenye BOLD kuna waandishi wametajwa nao ni JOPO zima la mwanahalisi..??? Tuache ushabiki usio na maana..... TUWE WAKWELI.... KAMA HUELEWI KITU NI BORA UKAULIZA KULIKO KUBWABWAJA......
 
Probably ungesema ni kwanini unaona gazeti la mwanahalisi halifai kwa hoja na sio general comments kama ulivyofanya
 
SISI TUKO KAZINI. TUNAANGALIA WALE TUNAOWATUMIKIA; ...........
KAMA HUELEWI KITU NI BORA UKAULIZA KULIKO KUBWABWAJA......
Nimekuelewa mkuu wangu!
Leo nimebwabwaja kweli kweli.
 
Mkuu mbona hii post yako imekaa kimajungu zaidi kuliko kiu-halisia???
 
Bila shaka wewe ni mpenzi au mwandishi wa gatezi lenye habari za Uzushi 100% la Tazama.
 
Tutake radhi majoja!!!!Mi ninalo hapa mezani kwangu mbona sijaona ubaya wake,mimi ni msomaji mzuri wa mwanahalisi tafadhali usituchagulie gazeti la kusoma kama Sita amekutuma please kapumzike pembeni.
 
Naogopa hata kukuuliza swali maana umeongelea jambo ambalo wewe pekee ndiye unayejua unachokiongelea.Ufafanuzi wa jambo ambalo unaliongelea ndio lingekuwa jambo la maana na ungepata mchango wetu,kwa kuwa umeamua kulichukulia kama jambo lako binafsi basi baki nalo,UKURASA MMOJA WA KITABU UKIPOTEA HAUKIFANYI KITABU KISIELEWEKE.
 
<STRONG><EM>Naogopa hata kukuuliza swali maana umeongelea jambo ambalo wewe pekee ndiye unayejua unachokiongelea.Ufafanuzi wa jambo ambalo unaliongelea ndio lingekuwa jambo la maana na ungepata mchango wetu,kwa kuwa umeamua kulichukulia kama jambo lako binafsi basi baki nalo,UKURASA MMOJA WA KITABU UKIPOTEA HAUKIFANYI KITABU KISIELEWEKE.</EM></STRONG>
 
kaka majoja lilete nikuruudfishie jero yako.
Naona uhuru litakufaa kwa sasa.

hili la uhuru lipo lol
mi nasomaga ya udaku
tu,hapa jf napata mambo yooote ya nji hii
haswa yale ambayo ma news papers hayaandiki in short sijui hata rangi ya gazet la uhuru hahahaha
 
nmeona nakala ya leo, ila sijaona chochote cha kumfanya mtoa post atokwe na povu. labda ile habari ya kubenea na uongo wa sitta!

Wamemsifu Membe?
Wamesifu Sitta?
Wamesifu Juhudi za Kuvuana Magamba

Basi kama hawajafanya kati ya hayo Mtoa Mada ana haki ya Kulalamika
 
Hakuna kilichopo duniani kinachopendwa na kila mtu.......Hivyo sikushangai....... Hakuna jipya hapo.....ANYWAY UNGEWEKA HIZO HABARI UNAZOZIITA ZA KINAFIKI............ MwanaHalisi litabaki kuwa gazeti bora kwa wasema kweli wa TZ......... NYIE WENGINE BAKINI MKISOMA HAYO MAGAZETI YA ...... ndiyo mzee.........

Lakini ndugu yangu hata wewe ungetuwekea hayo mazuri unayosema yanatoka kwenye hilo gazeti, ni kweli usiopingika kuwa gazeti la mwanahalisi lilikuwa ni gazeti bora kabisa kwa watu wanaopenda ukweli, lakini hiyo haiondoi dhana kwamba kwa sasa laweza kuwa limenunuliwa, kwani RAI si kila mmoja wetu anatambua kuwa lilikuwa gazeti bora kabisa, ila kwa sasa ni uozo mtupu. Hivyo ndivyo mwana halisi laweza kuwa pia, hata kama sio leo.
 
Hebu naomba ujitahidi kunishawishi nami nikuelewe unachomaanisha.
 
Gazeti hili liliokuwa linasifika sana kwa kutoa "sure" za mambo yanayoendelea kisiasa nchini limeshakuwa a town rag.
Wakuu msijisumbue kununua uozo wa gazeti hili ambalo tayari habari zake zimekwisha lipiwa kwa muda mrefu ujao.
Mwanahalisi na Dira kwa sasa ngoma droo.
Nasikitika kutoa shilingi mia tano yangu wiki hii na kukuta habari ambazo hazijulikani aliye andika na habari zenyewe ni za unafiki.
Kweli tindikali na fwedha vimefanya kazi yake.

We mwehu nini? Nunua Annuur basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom