Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Labda anataka ununue Alhudakwa hiyo tununue HABARI LEO????
Labda anataka ununue Alhudakwa hiyo tununue HABARI LEO????
Hilo gazeti wafungwa wa Tabora wanachambiaBila shaka wewe ni mpenzi au mwandishi wa gatezi lenye habari za Uzushi 100% la Tazama.
Haya ni majungu, si lazima uandike bora kukaa kimya kama mieGazeti hili liliokuwa linasifika sana kwa kutoa "sure" za mambo yanayoendelea kisiasa nchini limeshakuwa a town rag.
Wakuu msijisumbue kununua uozo wa gazeti hili ambalo tayari habari zake zimekwisha lipiwa kwa muda mrefu ujao.
Mwanahalisi na Dira kwa sasa ngoma droo.
Nasikitika kutoa shilingi mia tano yangu wiki hii na kukuta habari ambazo hazijulikani aliye andika na habari zenyewe ni za unafiki.
Kweli tindikali na fwedha vimefanya kazi yake.
Are you sure?Hivi bado tunajadili issue hii?
Huyu jamaa si ameishakiri kuwa amekurupuka kuandika post hii?
Hapa tunamwomba kitu kimoja tu, aondoe hii kitu hapa.