Hii hakuna hoja uliyotoa ya kum discourage huyu mtoto asiongee Kingereza
Huna hoja hiyo
Kilichopo hapa ni wewe kua class ya chini ya maisha na yeye kutoka familia ya class ya juu kimapato...hakuna kingine kinachokuuma hapo
Ni class struggle hapo
Wewe ni masikini ndio shida
Shida sio Kingereza cha huyo mtoto
Huna fedha za kusomesha mtoto wako shule za pesa kubwa wajue Kingereza kama huyu mtoto
Kingereza sio tatizo....tatizo hapa ni kipato cha nyumbani cha huyu kijana ni kikubwa sana zaidi yako ndio maana hasira zake umezigeuzia kwenye Kingereza which is very useless!
Plus huyu ni mtoto mdogo hajafika 18yrs,anaongea kama mtoto,ila wewe mavi yamekujaa matakoni unaharisha thread nzima as if huyu mtoto ni mtu mzima kama wewe!
It is very strange
Na funny thing is,wananchi wamekupa likes kama zote,inaonesha jamii yetu ni masikini kiasi kwamba wameloose reasoning kabisa sababu ya shida zao za kutokujua Kingereza na kipato chake
Jamii yetu ni very useless,ndio maana Kenya wataendelea kushika pua tukiongea Kingereza
Badala hata ya kumsifia huyu mtoto kwa kujitahidi hata kuongea Kingereza kwa walao kiwango chake kidogo cha Kitanzania,kwanza wewe unamsimanga kama mtu mzima mwenzio as if wewe unaweza andika sentensi ya Kingereza iliyo sahihi.
Bure kabisa!