GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,426
- 10,669
Acha wivu dogo yupo sahihi shule za washua kama hizo watoto wanafundishwa kujiamini tangu wakiwa primary unakutana na mtoto wa darasa la nne anajibiza ana mtu mzima mpaka unasikia raha wakati kayumba dogo wa la saba unamuuliza swali anajibu huku anaangalia chini mwingine anakukimbia kabisa zaidi hapo ningemuongezea kwa karne hii dogo asome kuelimika sio kutegemea kuajiriwa.Kuna tofauti ndogo sana baina ya kiburi na kujiamini.
Japo dogo anahisi kaongea kwa kujiamini, kihalisia kinachosikika hapo ni kiburi, majigambo na dharau.
By the way, bwana mdogo kesha left group. Uzungu mwingi una madhara yake nao. Nina hakika hapo alipo anaji identify kama 'they/them'.
Sawa ana akili nyingi, je marinda yapo?