bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,841
kwanza nadhani wewe tayari umejenga hisia fulani kwa waturuki, kwani huko marekani na nchi nyingine wako waturuki wangapi wa kujustify kufungua shule? Wale mipango yao yote ni European/American na ndiyo maana wanajipangisha kuwa members wa European union.Tanzania haina wahamiaji wengi wenye asili ya Kituruki hadi Waturuki waje kufungua school system yao Tanzania. Hii ni tofauti na Indian school, kwa mfano. Kwa nini watu wa taifa moja watake kufungua mfumo wa shule kwenye taifa lingine ambalo almost hamna wanafunzi wa taifa lao nchi husika? Una jibu?
Yule mweye zile shule actuallly ni raia wa marekani (mwenye asili ya uturuki), unadhani anafuata hiyo system ya kituruki?