Kenge mkubwa wee, kufaulu mtihani darasani na kufaulu maisha ni mambo mawili tofauti.Acha wivu na chuki
Kenge mkubwa wee, kufaulu mtihani darasani na kufaulu maisha ni mambo mawili tofauti.Acha wivu na chuki
Pamoja mchambuzi.Nisamehe mkuu, haya ya kwanza nimekujibu wewe ila haya nyingine niliandika kama comment sasa sijui nimejichanganya vipi zikaungana
Eti anashangaa kwanini watu wanaona NECTA ni ngumu. Kwanza alivoongea hivo wanafunzi wa hapa Nkuyu form hawajamuelewa
Nimemuona huyu mtoto akihojiwa akiwa na baba yake, hawa kwao wanazo kwani baba yake ni mtaalamu wa IT serikalini na wote wamesoma Feza, wapo watatu, sasa ukiangalia ada ya Feza ndio utajua huyu mtoto ni mayai, baba yake anadai watoto wake wana uwezo wa masomo sababu toka wakiwa watoto huwanunulia game zinazowajenga kiakili, sisi watoto wetu kutwa wanaangalia bongo movie za akina Mkojani, Joti na filamu zao za kipuuzi.Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Du Nkuyu Primary/sekondari school hehe mtu akifaulu ana divisheni IIIEti anashangaa kwanini watu wanaona NECTA ni ngumu. Kwanza alivoongea hivo wanafunzi wa hapa Nkuyu form hawajamuelewa
Duuuh ipa watu mnafikiria mbali.Kuna tofauti ndogo sana baina ya kiburi na kujiamini.
Japo dogo anahisi kaongea kwa kujiamini, kihalisia kinachosikika hapo ni kiburi, majigambo na dharau.
By the way, bwana mdogo kesha left group. Uzungu mwingi una madhara yake nao. Nina hakika hapo alipo anaji identify kama 'they/them'.
Sawa ana akili nyingi, je marinda yapo?
Toto la hovyo SanaEti anashangaa kwanini watu wanaona NECTA ni ngumu. Kwanza alivoongea hivo wanafunzi wa hapa Nkuyu form hawajamuelewa
Harafu halmashauri imefurusha wanafunzi wote masikini walio jaribu kukaa makambini angalau kuongeza muda wa kujisomea. Hii ilitokana na baadhi ya shule zenye tabia hiyo ovu kuanza kuwa na dv 1 saba hadi kumi hivi... serikali imewafurusha masikini hawa na kuwataka wakasome huko huko kwa bibi zao. Ndo mambo ya Nkuyu hukuDu Nkuyu Primary/sekondari school hehe mtu akifaulu ana divisheni III
Chief sema huna hela, naona unatoa excuse km zote kujustify uchoka mbaya wakoThat’s a fact: zaidi ya asilimia 50 ya wanafunzi Feza Schools ni waumini wa Uislamu. Nashangaa kwanini Wdturuki wenye mrengo mkali wa Kiislamu wafungue shule Tanzania: lengo lao ni nini haswa? Wanataka nini na akili za watoto wa Kitanzania? Mimi sioni hili suala limekaa vizuri haswa ukichukulia Uturuki haina uhusiano wowote maalum wa kihistoria na Tanzania. Waturuki wenyewe wakipata nafasi wapo tayari kuhamia Ulaya haswa Ujerumani ambapo wapo wengi sana. Nimeishi Norway, kuna wahamiaji wengi wa Kituruki ambao kazi yao ni biashara ya corner food stores kama Wahindi wa UK na migahawa ya kuuza doner kebab ma pizza. Sasa Waturuki kweli wana nia gani na Tanzania? Labda watakuwa wana manufaa kwa Waislamu wenzao.
Dua la Kuku Kwa Mwewe😝😝Mwisho wao wanadondokea upinde
Nipo hapa afsa ubashiri mwandamizi nilie kubuhuAisee hata mimi nawashangaa si tu wale wanaofeli ila pia na wale ambao wanafanya hiyo mitihani, ni kupoteza muda tu, bora wajiaandae kuwa maafisa ubashiri na maafisa usafirishaji🐒
Hizo tuzo za maskini zitawafaa sana, watu huwa wanaona umaskini ni sifa ya kujivunia.Hao ni vilaza, wachawi, wenye wivu na husda. Pia wapewe kombe au kama vipi serikali ianzishe tuzo ya maskini bora wawe wanashindana maana haiwezekani binadamu mwenye akili timamu ajivunie shida na umaskini. Ni punguani tu atajisifia ujinga na kumponda aliyefanikiwa.
Hapa angekuwa wa mwisho na kupata dungu hao wangekuja kumpongeza, akili zao ziko reverse.
Kwanza huyo dogo hapo alipo tiyari anawazidi akili na uzee wao. Katoa ushauri, maoni na kajibu maswali ila wanamkasirikia kama vile kaweka sheria.
1. Kasema wanafunzi wajipime na mitihani mingine maana NECTA ni rahisi. Kama mtu unaona ni upuuzi sio kesi, kawaazishie wanao ligi ya singeli na kucheza rede wasubiri NECTA.
2. Kasema NECTA ni rahisi. Ni maoni yake, kama unapinga mwambie mwanao NECTA ni ngumu akiingia kwenye mtihani azimie.
3. Kashangaa wanaofeli. Ajabu iko wapi? Mbona humu kuna watu mnashangaa wanaofaulu kama yeye, tena yeye hajawatafutia visingizio waliofeli ila nyinyi mnataja mara umaskini, mara yeye kisa wana hela.
Au serikali ianzishe tuzo ya umaskini maana watu wanaupenda sana. Ndio maana mwanasiasa akijiita mnyonge raia wanajigaragaza mtaani, wakati familia yake haijui shida.
Mbona hii ni nje ya mada???That’s a fact: zaidi ya asilimia 50 ya wanafunzi Feza Schools ni waumini wa Uislamu. Nashangaa kwanini Wdturuki wenye mrengo mkali wa Kiislamu wafungue shule Tanzania: lengo lao ni nini haswa? Wanataka nini na akili za watoto wa Kitanzania? Mimi sioni hili suala limekaa vizuri haswa ukichukulia Uturuki haina uhusiano wowote maalum wa kihistoria na Tanzania. Waturuki wenyewe wakipata nafasi wapo tayari kuhamia Ulaya haswa Ujerumani ambapo wapo wengi sana. Nimeishi Norway, kuna wahamiaji wengi wa Kituruki ambao kazi yao ni biashara ya corner food stores kama Wahindi wa UK na migahawa ya kuuza doner kebab ma pizza. Sasa Waturuki kweli wana nia gani na Tanzania? Labda watakuwa wana manufaa kwa Waislamu wenzao.
Swala la akili class lipo kipekee kuna mtu hata akaze msuli vpi hatoboi ila mwingine yeye ni kugusa tu.Watu wamekasirika wakati dogo kaongea ukweli tupu.
Kwa sasa mwanafunzi hapaswi feli wakati notisi zimejaa kila mahali.
Wazazi hawafatilii maendeleo ya watoto wao hivyo mtoto aende au asiende shule haiwahusu.
Watawala na watawaliwa huandaliwa na wazazi
Hawa wanajifunza model au??