Feza wapo wa necta na Cambridge unachagua unachopenda.Feza wanafanya Cambridge exams? Na wao wanafanya hio nadhani pengine shuleni kwao wanafanya makubwa kuliko pepa za necta
Watu wote wenye akili huongea kwa gestures
Secretary za sahizi 😃😃😆😆Feza wapo wa necta na Cambridge unachagua unachopenda.
Kenge ni mama yako aliyekunyonyeshaKenge mkubwa wee, kufaulu mtihani darasani na kufaulu maisha ni mambo mawili tofauti.
TEmbea uone ndugu, kuna shule mwalimu wa somo anaingia darasani mara 4 au 6 kwa mwaka na huyo mwalimu analeta notice tu, na anawambia wanafunzi kuwa hilo sio somo lake msubiri mwalimu wa somo akija atawafundisha nyie andikeni notisi tu.Sema kweli kufeli NECTA kwamba ukose 1,2,3 hata 4 ya kwenda certificate inashangaza sana tena hasa kwa kizazi hiki cha form 4 cha utawala wa Mwendazake na kuendelea na hii haijalishi umesoma kayumba au laah.
Nakusalimu secretary za asubuhi rafiki 🐁🐁🐁🐁
Huyo ni mtoto, hatahivyo anaweza kujieleza mbona wapo wengi na degree zao lkn hawezi kuongea hivyo.Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Lafudhi na ongea na ongea yake kakopi kizungu zungu , huyu dogo hata ukimwambia aongee lugha ya kabila lake anaweza shindwa kabisa ...

Sina mengi sana, pamoja na utoto wake ila naona ana point.
Cc: Wanafunzi wa shule za
Pamoja na utoto wake, hana tofauti na watoto wengine wanaothubutu kusema hawajui kitu kinachoitwa njaaSina mengi sana, pamoja na utoto wake ila naona ana point.
Cc: Wanafunzi wa shule za St. Kayumba
Texas Boys😂😂
Hivi kenge huwa ananyonyesha?Kenge ni mama yako aliyekunyonyesha
Acha kukuza mamboHivi kenge huwa ananyonyesha?
SijamboNakusalimu secretary za asubuhi rafiki![]()

Wakati wakienda bar na kwenye masherehe wanavimbishwa kwa lazimaNi kweli ile mitihani sio migumu.
Huwa wanatoa kile kimefundishwa shuleni, sasa hizi familia zetu tia maji tia maji ndo changamoto.
Kuna uzi humu wadau wanalalamika kulipa 2000 kwa mwezi ili mwanae afanye mitihani kila jumamosi.
Wanasema ni utitiri wa michango, mtoto akiomba daftari la mazoezi bado wanalalamika kinoma.
Wakati huo hao madogo wengine wanapiga pepa almost kila wiki, tests kibao zinazoendana na hiyo Necta watakayoifanya.
Wewe mwanao anakuomba jero achangie ticha anunue karatasi na kuprint huo mtihani. We unavimba.