Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mliomsema mtoto wa watu kuwa ni upinde sijui ameleave group, You are so evil and inconsiderate. Huyo dogo bado mdogo sana na ikiwa hajui maisha ya waTz wengine hawezi kujua kingine zaidi ya anachokiona.

Mpate kutubu.
Sijawahi kumsikiliza wala kumuamini mwanamke kwenye malezi ya watoto wa Ki-africa. Kuna kitu hakiko sawa kwenye gestures na kuongea kwa huyu dogo kama ni uzungu wazungu hawaongei hivyo.
 
nimtoto ni haki yake kushangaa pengine anafikiri jinsi wanavyo fundisha au mbinu wanazofundishiwa ni tanzania nzima mambo yako hivyo.pia hajui makundi ya watu kuelewa na kukumbuka yanatofautiana..kifupi hajui mambo mengi nje ya anachokisoma
 
Sijawahi kumsikiliza wala kumuamini mwanamke kwenye malezi ya watoto wa Ki-africa. Kuna kitu hakiko sawa kwenye gestures na kuongea kwa huyu dogo kama ni uzungu wazungu hawaongei hivyo.
Watu tunalelewa katika mazingira tofauti na ndipo yanatushape tuwe tulivyo leo.

Hakuna gesture aliyotumia inayokupa wewe uhalali wa “kumpa majina” besides ni mtoto wa mtu, vaa viatu vya wazazi wake pia.

Well behaved people wote wamelelewa na wanaume? Na unajua kwa kiasi kikubwa Africa anayelea mtoto ni mwanamke, matokeo mazuri na mabaya juu ya malezi yote ni halali yetu…

Umepotoka!
 
Mnajudge bure tu, ni wangapi kati yetu tumewahi tumia msemo wa “mimi sipendi shule ila shule inanipenda mimi”

Hii ni kwasababu tulikuwa tunaona kuwa tunatia msuli kidogo lakini tunafaulu vizuri sana, hakuna tofauti ya “kimaana” kati ya tulichowahi kusema na anachosema huyo mtoto.
 
Kumbe nina akili eeeh,maana huwa ninaongea na mikono pia.Sikuwahi hata kulijua hili .
It is obvious sis, hata kama hatujawahi kukuona ukiongea ila maandishi yako yanaeleza hicho.

Kwa kuongea na kwa kuandika mtu mwenye akili anaonekana, Biblia inasema kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake, ukiwa na akili utajikuta muda mwingi unatema madini na kwa kujilazimisha mara moja moja ndio unaamua kuongea pumba and vice versa is true!
 
Bado ni mtoto anazungumza anachokiaona machoni mwake, siku akiwa na utambuzi atajua ni kwa nini wanaofanya hizo NECTA wanaona ngumu.

Ni sawa sawa na mtoto anayemuona Baba yake ndio tajiri pekee duniani.
Utajiri unaingiaje na kufaulu
 
Kuna malkia wa France alikua anashangaa kuona raia wanalalamika njaa kwamba mikate hakuna akawawambia wale keki tu so Kwa dogo ni suala la mtazamo tu hajui tu shida wanazopata watoto wa kidumu na mfagio shida wanazopata mpaka kufikia kufanya NECTA
 
Mliomsema mtoto wa watu kuwa ni upinde sijui ameleave group, You are so evil and inconsiderate. Huyo dogo bado mdogo sana na ikiwa hajui maisha ya waTz wengine hawezi kujua kingine zaidi ya anachokiona.

Mpate kutubu.
skuizi watu wanaharakia sana kuhukumu, hata ukionekana umevaa nguo ya pink wewe ni upinde tayari....
 
Watu tunalelewa katika mazingira tofauti na ndipo yanatushape tuwe tulivyo leo.

Hakuna gesture aliyotumia inayokupa wewe uhalali wa “kumpa majina” besides ni mtoto wa mtu, vaa viatu vya wazazi wake pia.

Well behaved people wote wamelelewa na wanaume? Na unajua kwa kiasi kikubwa Africa anayelea mtoto ni mwanamke, matokeo mazuri na mabaya juu ya malezi yote ni halali yetu…

Umepotoka!
Africa ukimtoa baba mtoto ameisha, Msingi wa malezi ya kimaadili kwa mtoto yanatokana na how good baba anahandle mtoto. Kama baba unatakiwa kuwa karibu sana na mtoto na kumuonyesha how men are.
 
Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Hii hakuna hoja uliyotoa ya kum discourage huyu mtoto asiongee Kingereza

Huna hoja hiyo

Kilichopo hapa ni wewe kua class ya chini ya maisha na yeye kutoka familia ya class ya juu kimapato...hakuna kingine kinachokuuma hapo

Ni class struggle hapo

Wewe ni masikini ndio shida

Shida sio Kingereza cha huyo mtoto

Huna fedha za kusomesha mtoto wako shule za pesa kubwa wajue Kingereza kama huyu mtoto

Kingereza sio tatizo....tatizo hapa ni kipato cha nyumbani cha huyu kijana ni kikubwa sana zaidi yako ndio maana hasira zake umezigeuzia kwenye Kingereza which is very useless!


Plus huyu ni mtoto mdogo hajafika 18yrs,anaongea kama mtoto,ila wewe mavi yamekujaa matakoni unaharisha thread nzima as if huyu mtoto ni mtu mzima kama wewe!

It is very strange

Na funny thing is,wananchi wamekupa likes kama zote,inaonesha jamii yetu ni masikini kiasi kwamba wameloose reasoning kabisa sababu ya shida zao za kutokujua Kingereza na kipato chake

Jamii yetu ni very useless,ndio maana Kenya wataendelea kushika pua tukiongea Kingereza

Badala hata ya kumsifia huyu mtoto kwa kujitahidi hata kuongea Kingereza kwa walao kiwango chake kidogo cha Kitanzania,kwanza wewe unamsimanga kama mtu mzima mwenzio as if wewe unaweza andika sentensi ya Kingereza iliyo sahihi.

Bure kabisa!
 
Kuna tofauti ndogo sana baina ya kiburi na kujiamini.

Japo dogo anahisi kaongea kwa kujiamini, kihalisia kinachosikika hapo ni kiburi, majigambo na dharau.

By the way, bwana mdogo kesha left group. Uzungu mwingi una madhara yake nao. Nina hakika hapo alipo anaji identify kama 'they/them'.
Sawa ana akili nyingi, je marinda yapo?
Mkuu huyu ni mtoto ana miaka 13

Unavyomjibu hapa ni as if unaongea na mtu ana miaka 25

He is just a baby

No wonder hata wewe ulipokua na miaka 13 usingewe kuumba sentensi kama yeye hapo

Hivi mtoto anahukumiwaga kama ulivyofanya hapa?

Chuki tupu
 
[emoji2][emoji2][emoji23] D mbili tu zinakushinda alafu watu wakipata As unaungua moyo hajui wamewekeza pesa na muda wao kusoma...
Izo shule za serikali ndio tulizosoma tulio wengi na tumepata Grades nzuri tu lakini kwa kukomaa sio mchezo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Yaani Mimi ni mwalimu wa Shule za kata watoto wanajua album nzima ya harmo, betting,Mondi na singeli zotee...na mapenzi tuu...!!
Natamanj kungekua na voice notes niongee
 
Nyie wapuuzi mnaosema huyo mtoto kaleft group.

Mnakosea tena Mnakosea Sana
Mnataka mtu aweje mseme ili mridhike kwenye nafsi zenu, Binafsi ushoga naupinga sana tuu. Lakin siwez kujitoa akili na kusema huyo mtoto ni Shoga. Watu hamna Exposure kabisa hamjakutana na vitu tofauti, hamjaona watu tofaut. Kila siku mko na watu wa level zile zile hapo mnajifunza nini ??

Huyo ni mtoto mdogo tuu around 16 or less bado hajakomaa kama wewe hapo, Maisha yake ni tofauti na yale uliyokulia wewe huko kwenu(analala pazuri, anakula vizuri, hana stress za kipuuzi, hateswi kwao, ana malengo yamenyooka)

He speaks his mind with honestly voice. Kama umekosa cha kusema ni bora useme huyu mtoto NI PHYSICALLY WEAK na sio eti KALEFT GROUP mlaaniwe wote mliosema hivyo.

Watu Kama Benjamin Fernandes mmiliki wa Nala pia mtasema Ni shoga sababu tu ya tone yake ya kuzungumza and being humble guy. Watu wajinga kama hao huko juu wanatak u'act rude eti ndio kidume

Imeniuma Sana, kwa kweli badirike Jaribuni kua " Open minded " msisemee watu vibaya tofaut na uhalisia
yaani mkuu hii nchi yetu umasikini unawafanya watu wanakua kama vichaa

wakiona mtu anatoka familia nzuri yenye kipato,shule private ya gharama kubwa,mtu ana afya nzuri,ngozi nzuri ya afya,anajiamini,anaongea kingereza kizuri,anavaa vizuri, moja kwa moja wanamuita shoga

natoka familia duni,na maisha yangu bado mabaya tu,lakini siwezi kaa hapa na kusoma huu upumbavu hawa masikini wenzangu wanaandika

umasikini wangu hauwezi fanya nikakoswa akili kama hawa ngedere masikini wenzangu humu ndani

mbwa wahed hawa vyenge!
 
Yaani jamani, hebu imagine...

Mtoto anashindwa kupata hata DIVISHENI FOO

Na mimi ndio mkuu wao hapa wa MADIVISHENI FOO nchini.
Mtoto anaekosa division four ni abnormal nothing can make a student kupata four kwanza necta usahihishaji wake ulivo mwepesi wanasahihisha idea TU!
SIKU hizi hata shule za kata Kuna wanaopata single digits
 
Humu kuna vizazi vya watu waliojikatia tamaa na kujifia kabisa. They are walking dead.
Wanalazimisha wote mfanane hali zenu, exposure na mitazamo.
Wamaona ni sifa kulima kwa jembe la mkono ushoga kulima kwa trecta, wanaona ni sifa kugombania daladala na ushoga kununua gari.
UKiwa ma msichana hajui kupika ugali wanaona umepotea kwa kununua mbuzi kwenye gunia, wakati kiuhalisia labda wewe ugali is not your thing.
Hata ukijenga nyumba yenye mfumo mzuri wa maji ndani bado watataka mke abebe ndoo ya maji kichwani au kabla hujaenda kuoga basi mke akafungulie shower ili unapoingia ukute maji yanamwagika.
Unakunywa Nini?!!agiza bills kwanguu brooo
 
Dogo anajua hesabu lakini hajui Kiswahili. Hii ni aibu sana kwa mzazi.
anajua Kiswahili fasaha kabisa

sema kilichokuudhi ni wewe kumsikia anatumia kingereza wakati wewe hujui

hilo ndilo kosa lake

which means una chuki tu kutokana na your own failure to know English,sio lazima wote tujue Kingereza,akijua yeye inatosha na sio lazima uelewe anachokisema,tukujua wengine inatosha wewe unaweza kukojoa na kwenda kulala
 
Back
Top Bottom