Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Semeni yooote ila as a teacher namuelewa dogo watoto wa shule za kata sio wasomaji kabisaaa km D mbili mtu anakosa za div 4,kweeeli?!!guys Ht kiswahili still wanafunzi wanapata F
Mtoto anaepata zero necta ni bure
[emoji2][emoji2][emoji23] D mbili tu zinakushinda alafu watu wakipata As unaungua moyo hajui wamewekeza pesa na muda wao kusoma...
Izo shule za serikali ndio tulizosoma tulio wengi na tumepata Grades nzuri tu lakini kwa kukomaa sio mchezo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Humu pamejaa wachawi tupu.

Hawa ndio wanaotuloga.
Humu kuna vizazi vya watu waliojikatia tamaa na kujifia kabisa. They are walking dead.
Wanalazimisha wote mfanane hali zenu, exposure na mitazamo.
Wanaona ni sifa kulima kwa jembe la mkono ushoga kulima kwa trecta, wanaona ni sifa kugombania daladala na ushoga kununua gari.
UKiwa ma msichana hajui kupika ugali wanaona umepotea kwa kununua mbuzi kwenye gunia, wakati kiuhalisia labda wewe ugali is not your thing.
Hata ukijenga nyumba yenye mfumo mzuri wa maji ndani bado watataka mke abebe ndoo ya maji kichwani au kabla hujaenda kuoga basi mke akafungulie shower ili unapoingia ukute maji yanamwagika.
 
binafsi nimesoma kwenye moja kati ya hizo shule kubwa, msifuate sana mkumbo wa kupeleka watoto shule hizo, wanachagua watoto wenye akili tu. Nakumbuka interview tulikua tunafanya watu zaidi ya 5000 tanzania nzima, lakini tukachukuliwa 180 tu.... walisema wanaangalia waliofaulu hisabati kuanzia alama ya 85% kwenda juu, halafu wanachukua top 180 kutoka hapo.....

Ingekua wanachukua watoto ambao wako taratibu kujifunza halafu wanawafaulisha, basi hapo ndo wangekua wako vizuri. Wanachuja wanafunzi wazuri ili wafaulishe sana, halafu hii dhana waitumie kwenye marketing....
Sasa mkuu hapo wao kufanya mchujo kosa lao liko wapi?

Hao ni wafanya biashara, so lazima vigezo na mashart yao vizingatiwe ili biashara yao ilipe, sasa unataka wachukue vilaza alafu wachafue sifa ya shule ili wakufurahishe wewe

Ata shule za serikali kulikuwa na utaratibu wa kufanya mitihani ya mchujo ili mwenye sifa stahiki ndio aende level inayofata

ila Kwa sababu za kisiasa wakaacha kuweka utarabu wa wastani ili watoto waonekane wanafauru sana na wapewe sifa kuwa ata shule za government zinafaurisha vizuri pamoja na mazingira magumu ya kufundishia

Matokeo yake hao wanaofaurisha bila kuwa na vigezo hawajui ata kusoma na kuandika, wakaenda mbali zaidi wakataka sifa zaidi na kufikia hatua shule zetu za kayumba ziwepo top 10 ya shule zilizofanya vizuri

Mchujo ni kitu muhimu sana pale unapotafuta kundi la watu wenye uelewa Fulani ili ufanye nao project yoyote ile, ndomana ata serikalini watu wanafanya interview ili wapate kazi
 
Wengine wanasema mitihani mirahisi wengn wanasema shule ngumu
Leo shule za serikali zimeshinda kando ya barabara kusubiri mbio za mwenge, huku muziki umekodiwa na sare za mwenge wakicheza singeli... At the end wanasema wanafunz wa Feza mnawasema kiburi.. aisee hii nchi inawatu wa ajabu
 
Dogo haelewi kwa nini watu wanafeli mitihani, kadri atakavyokua ataelewa kwa nini hao waliofeli mitihani ya form four wamekuja kutusua maisha kumzidi. Ndo atajua maisha ilikuwa zaidi ya kufaulu ile mitihani ya darasani.....
 
Utofauti uliopo kati ya Shule za serikali na Shule za Kulipia ni Mkubwa mno kuanzia Hata kwny Mindset tu ya Mwalimu na Mwanafunzi husika,

Mfano Halisi anzia tu Hata Mtaani kwenu angalia watoto wanaosoma Internationa schools na Hizi za Serikali yani Utaona kabsa Maji na Mafuta vilee vinajitenga.

Watt wa Shule za serikali wakilud nyumbani kazi Kuangalia Singeli na Nyimbo za Amelowa hku wakisindikizwa Na migogoro ya Baba na mama ndani ya Nyumba hivi unafkiri hyo mtoto Saikolojia yake itakuw sawa kweli ?

Mambo ni mengi sana nataman hat nianzishe Thread yangu kabsa nielezee hili kiundani ila Kiufupi Ufaulu wa Mtoto unaanzia Na Misingi ya Wanafamilia/kifamilia.
Sio shule zote za kulipia
 
Semeni yooote ila as a teacher namuelewa dogo watoto wa shule za kata sio wasomaji kabisaaa km D mbili mtu anakosa za div 4,kweeeli?!!guys Ht kiswahili still wanafunzi wanapata F
Mtoto anaepata zero necta ni bure
Shule za Serikali za Kata zina wanafunzi ambao wanasoma sababu wamelazimishwa kusoma.

Nina ndugu yangu anasoma sehemu shule iko karibu ila anapata Dovision 4 sasa huyu utasingizia nini na ni Dsm hapandi hata daladala maana ni mwendo wa dakika 5
 
Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.

Wazazi wake hawa msemeshi kiswahili nyumbani
Shida iko hapo!
Kosa sio la mtoto na hajui kiswahili vizuri, hiyo ndio fact!
Mtoto hana kosa kabisa!
 
Ndiyo. Kwangu binafsi kumpeleka mtoto shule ya Kituruki ni hapana. Hii shule mwanzilishi wake ni Mwanazuo wa Kiislamu mwenye siasa kali. Hii shule inawavutia zaidi Waislamu.
hayo ni maoni siwezi kukwambia upeleke au la. Ila hilo la kuvutia zaidi waislamu naona umeongeza chumvi kwa vile tayari you are prejudiced.
 
hayo ni maoni siwezi kukwambia upeleke au la. Ila hilo la kuvutia zaidi waislamu naona umeongeza chumvi kwa vile tayari you are prejudiced.
That’s a fact: zaidi ya asilimia 50 ya wanafunzi Feza Schools ni waumini wa Uislamu. Nashangaa kwanini Wdturuki wenye mrengo mkali wa Kiislamu wafungue shule Tanzania: lengo lao ni nini haswa? Wanataka nini na akili za watoto wa Kitanzania? Mimi sioni hili suala limekaa vizuri haswa ukichukulia Uturuki haina uhusiano wowote maalum wa kihistoria na Tanzania. Waturuki wenyewe wakipata nafasi wapo tayari kuhamia Ulaya haswa Ujerumani ambapo wapo wengi sana. Nimeishi Norway, kuna wahamiaji wengi wa Kituruki ambao kazi yao ni biashara ya corner food stores kama Wahindi wa UK na migahawa ya kuuza doner kebab ma pizza. Sasa Waturuki kweli wana nia gani na Tanzania? Labda watakuwa wana manufaa kwa Waislamu wenzao.
 
Kuna tofauti ndogo sana baina ya kiburi na kujiamini.

Japo dogo anahisi kaongea kwa kujiamini, kihalisia kinachosikika hapo ni kiburi, majigambo na dharau.

By the way, bwana mdogo kesha left group. Uzungu mwingi una madhara yake nao. Nina hakika hapo alipo anaji identify kama 'they/them'.
Sawa ana akili nyingi, je marinda yapo?

Yapo yamejaa tele na kubakia!
Huyu mtoto namfahamu!
Ni kijana mwenye adabu sana na hapo ameongea ukweli wake anao ujua yeye!
Mwombeeni maisha yake yaongozwe na Mola!
 
Akili unataka ipimwe kwa lipi? Daktari hupimwa kwa kufaulu.mitihani kwanza
Ukifeli udaktari kwa heri alama za ufaulu ndizo huamua uwe.daktari,Engineer nk duniani kote
You are wrong.. Endelea kufanya research
 
hayo ni maoni siwezi kukwambia upeleke au la. Ila hilo la kuvutia zaidi waislamu naona umeongeza chumvi kwa vile tayari you are prejudiced.
Tanzania haina wahamiaji wengi wenye asili ya Kituruki hadi Waturuki waje kufungua school system yao Tanzania. Hii ni tofauti na Indian school, kwa mfano. Kwa nini watu wa taifa moja watake kufungua mfumo wa shule kwenye taifa lingine ambalo almost hamna wanafunzi wa taifa lao nchi husika? Una jibu?
 
Wabongo kwa kijicho hamuwezekaniki kwa kweli.
Kwa hiyo wanaodondokea huko wote ni wale wanaojitambua, na wenye elimu nzuri na wanaojiweza kimaisha?
Hivi tukianza kuwaorodhesha wale wanaofanya matendo hayo unadhani ni wa kutoka levels zipi za maisha watakaoongoza?
Yani people are so bitter and envious! Kuanza kumtabiria mtoto wa watu upinde kisa anavyoongea, too negative! Angeongea kiswahili kilichonyooka wasingesema hivyo..
 
You are wrong.. Endelea kufanya research
Research zilifanywa miaka na niaka ji watu wachschebtu ambao akili zao huwezi pima darasani wachache sana duniani

Hao wana akili za ugunduzi ambao haufundishwi darasani

Lakini mtu wa kawaida kupima kama kichwani zimo asilimia kubwa ni.mitihani huwrzi mjua kwa kumkodolea macho tu na kusema huyu ana akili
 
Back
Top Bottom