Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Huyo mtoto wazazi wake wanavompromote kila media,social networks ni kama super genius wa dunia ivi...kuna Tanzania one kibao nadhani walikuwa na uwezo mkubwa .wengine waliishia Kuwa walevi wengine maisha yao hayaeleweki...wazazi wa huyu mtoto wapunguze sifa mitandaoni bado huyu mtoto ni mdogo na anasafiri ndefu sana..iko siku mambo yatakwenda sivo hizi clip hazifutuki..na hugo dogo aache dharau kwa watu wanaofeli necta ..maana wakati mwingine iwezo binafsi na mazingira vinachangia sana mtu kufeli
 
Huyo mtoto wazazi wake wanavompromote kila media,social networks ni kama super genius wa dunia ivi...kuna Tanzania one kibao nadhani walikuwa na uwezo mkubwa .wengine waliishia Kuwa walevi wengine maisha yao hayaeleweki...wazazi wa huyu mtoto wapunguze sifa mitandaoni bado huyu mtoto ni mdogo na anasafiri ndefu sana..iko siku mambo yatakwenda sivo hizi clip hazifutuki..na hugo dogo aache dharau kwa watu wanaofeli necta ..maana wakati mwingine iwezo binafsi na mazingira vinachangia sana mtu kufeli
Atakuja kuajiriwa na aliyefeli hapo atajua hajui
 
Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Sawa
 
Kwani form 6 si wanafanya mitihani ya NECTA?? Huyu kwa anavyozungumza ni kuwa hasomi mtaala wa NECTA
Amesema kashift from NECTA to Cambridge alafu ni kama anaisiliba necta anasema kule Cambridge mitihani inakufundisha kufikiri and all that a good system can deliver when it comes to education, anyways ni opinions zake... Its a free country any body can say anything..
 
ANASHANGAA KWANINI WATU WANAFELI NECTA!!
MI NAMJIBU HIVI
-Mkumbusheni kuna kitu kinaitwa normal curve kwenye hiyo hesabu kipo!!! Akijua hicho hawezi shangaa na
-Ajue wazi IQ tunatofautiana
-mazingira tunatofautiana
-Malezi tunatofautiana
-mwitikio tunatofautiana
-HIVYO WOTE HATUWEZI FAULU!!!
NA ukiongezea Huwezi faulu ukiwa na njaa, huwezi faulu unasafiri umbali mrefu kutafuta elimu! Huwezi faulu kwa walimu wa voda Fasta, huwezi faulu ikiwa 90% ya waalimu hawamalizi mitaala, huwezi faulu kama hujaenda tuition, huwezi faulu ikiwa unakariri na huelewi unafundishwa nini, huwezi shawishika kusoma ili ufaulu ikiwa kaka yako aliyefaulu chuo kikuu mnagombea maandazi na mnashea kitanda.Huwezi faulu kufundishwa na mwalimu ambaye ana stress za maisha hapo utafundishwa bora liende tu!! N.k
 
Back
Top Bottom