Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Huyo mtoto wazazi wake wanavompromote kila media,social networks ni kama super genius wa dunia ivi...kuna Tanzania one kibao nadhani walikuwa na uwezo mkubwa .wengine waliishia Kuwa walevi wengine maisha yao hayaeleweki...wazazi wa huyu mtoto wapunguze sifa mitandaoni bado huyu mtoto ni mdogo na anasafiri ndefu sana..iko siku mambo yatakwenda sivo hizi clip hazifutuki..na hugo dogo aache dharau kwa watu wanaofeli necta ..maana wakati mwingine iwezo binafsi na mazingira vinachangia sana mtu kufeli
Acha wivu na ujinga wako ,wazaz wanampromote wapi?hama uko uswazi kunafubaza uwezo wa kufikiri

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Sio kazi yake kuzungumzia aliyeshinda nafasi ya kwanza na ya pili, tafuta mahojiano yao ujue wamesema nini. Yeye kahojiwa katoa hoja zake na kajibu maswali yake.

Yeye kashangaa kwanini watu wanafeli, ni sawa na mtu mwingine akishangaa kwanini watu wanaenda kwa waganga na mwingine anashangaa kwanini wanaenda kwa Mwamposa. Hakuna sehemu kadhihaki mtu.

Na katoa maoni juu ya mitihani ya NECTA ilivyo. Mnalazimisha mtoto awe na hekima ambazo wazee wengine humu hawana. Mnalazimisha atambue maisha yenu ambayo hayajui ndio maana kasema anashangaa. Mnalazimisha ajue umaskini wa wengine ambavyo sio kazi yake na hana haja ya kuujua kwa umri wake.

Mtoto mdogo mnamletea hasira na kumuombea mabaya
Duuh ni wapi man nilimuombea mabaya dogo?
 
Nyie wapuuzi mnaosema huyo mtoto kaleft group.

Mnakosea tena Mnakosea Sana
Mnataka mtu aweje mseme ili mridhike kwenye nafsi zenu, Binafsi ushoga naupinga sana tuu. Lakin siwez kujitoa akili na kusema huyo mtoto ni Shoga. Watu hamna Exposure kabisa hamjakutana na vitu tofauti, hamjaona watu tofaut. Kila siku mko na watu wa level zile zile hapo mnajifunza nini ??

Huyo ni mtoto mdogo tuu around 16 or less bado hajakomaa kama wewe hapo, Maisha yake ni tofauti na yale uliyokulia wewe huko kwenu(analala pazuri, anakula vizuri, hana stress za kipuuzi, hateswi kwao, ana malengo yamenyooka)

He speaks his mind with honestly voice. Kama umekosa cha kusema ni bora useme huyu mtoto NI PHYSICALLY WEAK na sio eti KALEFT GROUP mlaaniwe wote mliosema hivyo.

Watu Kama Benjamin Fernandes mmiliki wa Nala pia mtasema Ni shoga sababu tu ya tone yake ya kuzungumza and being humble guy. Watu wajinga kama hao huko juu wanatak u'act rude eti ndio kidume

Imeniuma Sana, kwa kweli badirike Jaribuni kua " Open minded " msisemee watu vibaya tofaut na uhalisia
Masikini wana hasira
 
Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Hiyo ni Nje ya mada. Au ulifeli mzee umeamua kupambana na mtoa hoja badala ya hoja
 
Hakuna mahali nimemwombea mabaya. Binafsi napenda watoto wanaojiamini kama huyo.
Ila akumbuke kwamba technology haisahau kitu. Haya maneno yake yawe motisha kwenye maendeleo yake.
Ujumbe wako ulikua kama unamuombea akwame hivi...lakini uyo dogo mambo ya shule hawezi kukwama labda akwame kwenye mambo mengine

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe wako ulikua kama unamuombea akwame hivi...lakini uyo dogo mambo ya shule hawezi kukwama labda akwame kwenye mambo mengine

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sina mawazo hayo.
Una uhakika gani kwamba hawezi kukwama? Naelewa kwamba wazazi wake wake vizuri financially. Lakini kuwa na pesa na kukwama maishani ni vitu viwili tofauti.
Mtoto bado mdogo bado ana safari ndefu. Ukuaji wa mtoto una mambo mengi. Kikubwa tuwaombee watoto wetu.
 
Back
Top Bottom