brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 942
- 1,383
Shule zetu za kayumba Zina matatizo mengi kuanzaia recruitment ya hao walimu mpaka wazazi na wanafunzi
Kumbe nina akili eeeh,maana huwa ninaongea na mikono pia.Sikuwahi hata kulijua hili .Watu wote wenye akili huongea kwa gestures
Call it inferiority complex, I call it facts. The kid is plain old arrogant and a faggot as a faggot can be.Acha inferiority complex, nyie mkishaona watu wanajiamini mnakimbiloa kuwarushia kasha, hadi lini mtakuja muache hizo mambo.
Habari za ooh hana marinda, ooh kasha left group, mnazipenda hizo habari sababu ndiyo mna uzoefu maxo huko mitaani kwenu mnapoishi hivyo kila mkiingia sehemu ambayo kwenu ni kina k8refu mnadai hana Marinda.
Msichokijua ni kwamba hizo hayo mnayowashutumu nayo wengine yanajenga picha ya ni kitu gani ni common huko mnapoishi
Ndiyo. Kwangu binafsi kumpeleka mtoto shule ya Kituruki ni hapana. Hii shule mwanzilishi wake ni Mwanazuo wa Kiislamu mwenye siasa kali. Hii shule inawavutia zaidi Waislamu.mbona wanazo shule mpaka marekani? Unadharau kwa vile wao ni waturuki, angekuwa mjerumani ungeona ni sawa tu
Tofauti yake na wewe,ni kuwa yeye maisha hayatampiga.Akikosa kabisa ajira wana hotel yao kubwa tu hapa mjini Inaitwa Mbezi garden hotel.Atakuwa hata manager hapo.Baba yake Ni IT director huko Bandarini.Maisha hayawezi kumpiga.Familia ina.biashara ya kurithishwa vizazi na vizazi kama hotel za Hilton.Simshangai huyo mtoto.Mimi mwenyewe nilipokuwa mdogo nilikuwa nashangaa mtu anafeli vipi.Mpaka namaliza chuo kikuu sikuwahi kufeli.Ila maisha yamenipiga na kitu kizito kichwani najiuliza waliotajirika wamewezaje?🤣🤣🤣
Halafu mbona kama accent yake inaonekana kama huyu mtoto sio mtanzania ? Naona kama ni jamii ya kisomali huko au ninekosea ?Sihitaji kupeleka mtoto shule alafu aanze kusahau Kiswahili na kujirembua (kuongea kwa ishara) namna hii. ukileta mtoto wa kizungu hapo utakuta anaongea straight tu, ila wa kibongo lazima alete mbwembwe. au angeletwa hata wa international school of TAnganyika tu. hata hivyo, nampongeza mzazi na mtoto kwa hatua hiyo.
Aahaaaaa
AhahhahaNi kada muhimu sana kwa vijana wenye ujuzi na maarifa ya mashindano mbali mbali ya michezo kama mpira wa miguu ambapo vijana hao hutumia ujuzi na maarifa yao kubashiri matokeo ya michezo mbali mbali na kujipatia pesa halali ya kujikimu
View attachment 2622183
Ameshaelezea na solution ametoa , mitihani ya necta inatungwa kwa ajili ya wanokaririri na yeye tayari anafanya cambridge syllabus ambayo inahitaji kuelewa zaidi kuliko kukariri.Bado ni mtoto anazungumza anachokiaona machoni mwake, siku akiwa na utambuzi atajua ni kwa nini wanaofanya hizo NECTA wanaona ngumu.
Ni sawa sawa na mtoto anayemuona Baba yake ndio tajiri pekee duniani.
Sikubishii, sababu ndiyo tabia na michezo unayoijua zaidi kuliko chochoteCall it inferiority complex, I call it facts. The kid is plain old arrogant and a faggot as a faggot can be.
Watu wanaobet ndo wanaitwa maafisa ubashiriMaafisa Ubashiri ndio nini? 🤣🤣🤣
Walimu wa field wanavyoharibu watoto na zile viatu zao
Acha ujingaAisee hata mimi nawashangaa si tu wale wanaofeli ila pia na wale ambao wanafanya hiyo mitihani, ni kupoteza muda tu, bora wajiaandae kuwa maafisa ubashiri na maafisa usafirishaji🐒
halafu huyu ndio waziri wa elimu wa kesho et!Sina mengi sana, pamoja na utoto wake ila naona ana point.
Cc: Wanafunzi wa shule za St. Kayumba
Sio kazi yake kuzungumzia aliyeshinda nafasi ya kwanza na ya pili, tafuta mahojiano yao ujue wamesema nini. Yeye kahojiwa katoa hoja zake na kajibu maswali yake.Hata kama ingekuwa ya Dunia issue ni kwamba ameshika nafas ya tatu na huyo aliyeshika ya kwanza asemaje?
Kwanza emu tupe ufafanuzi kuhusu hiyo michuano ya Hisabati iliyofanyika