Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Mwanafunzi wa Feza ashangaa wanaofeli mtihani wa NECTA

Huyu dogo wa kishua sololabien mboga saba anawasolola wenzake wa St. Kayumba?

Anajua life la kitaa cha wana huyu, mbona kama dogo anatafuta penzi la wakulungwa kiaina tumteke tukaishi nae.

Dogo anajua struggle za madogo wa uswazi life lao linavyowapelekesha. Hata ukifaulu NECTA bado maisha yanawakataa, vijana hawana codes za system.
Hayo hayamuhusu ,uliambiwa shida ni kitu kizuri na nani?Acheni kukimbia mada

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Dogo mbona km kashaleft group mapema sana?!, anyway, hapo hamna cha maana alichoongea zaidi ya kiburi, dharau, majigambo.
Maisha ya watoto na wadogo zetu hayafanani na yake. Wadogo zetu wengi wao ndo baba, ndo mama nikiwa na maana ya wanajitafutia kula, wanajitafutia ada, n.k.
 
Watu wamekasirika wakati dogo kaongea ukweli tupu.
Kwa sasa mwanafunzi hapaswi feli wakati notisi zimejaa kila mahali.

Wazazi hawafatilii maendeleo ya watoto wao hivyo mtoto aende au asiende shule haiwahusu.

Watawala na watawaliwa huandaliwa na wazazi
Notsi sio jambo muhimu sana katika kufaulu kwa walio wengi.
Walimu na mazingira ya shule ndio mambo muhimu zaidi.
 
Kashapiga one yake safi O level apo ameshinda michuano ya Hisabati kwa afrika ameshika nafasi ya tatu kwa level ya O level..Na ameshahama mtaala anasoma cambridge A lavel

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ameshika nafas ya 3 alafu anaongea hivyo angeshika ya kwanza ingekuwaje
 
Kuna tofauti ndogo sana baina ya kiburi na kujiamini.

Japo dogo anahisi kaongea kwa kujiamini, kihalisia kinachosikika hapo ni kiburi, majigambo na dharau.

By the way, bwana mdogo kesha left group. Uzungu mwingi una madhara yake nao. Nina hakika hapo alipo anaji identify kama 'they/them'.
Sawa ana akili nyingi, je marinda yapo?
Acha inferiority complex, nyie mkishaona watu wanajiamini mnakimbilia kuwarushia kashfa, hadi lini mtakuja muache hizo mambo?

Habari za "ooh hana marinda, ooh kesha left group", mnazipenda hizo habari sababu ndiyo mna uzoefu nazo huko mitaani kwenu mnapoishi hivyo kila mkiingia sehemu ambayo kwenu ni kina kirefu mnadai hana Marinda.

Msichokijua ni kwamba hizo hayo mnayowashutumu nayo wengine yanajenga picha ya ni kitu gani ni common huko mnapoishi.
 
Utofauti uliopo kati ya Shule za serikali na Shule za Kulipia ni Mkubwa mno kuanzia Hata kwny Mindset tu ya Mwalimu na Mwanafunzi husika,

Mfano Halisi anzia tu Hata Mtaani kwenu angalia watoto wanaosoma Internationa schools na Hizi za Serikali yani Utaona kabsa Maji na Mafuta vilee vinajitenga.

Watt wa Shule za serikali wakilud nyumbani kazi Kuangalia Singeli na Nyimbo za Amelowa hku wakisindikizwa Na migogoro ya Baba na mama ndani ya Nyumba hivi unafkiri hyo mtoto Saikolojia yake itakuw sawa kweli ?

Mambo ni mengi sana nataman hat nianzishe Thread yangu kabsa nielezee hili kiundani ila Kiufupi Ufaulu wa Mtoto unaanzia Na Misingi ya Wanafamilia/kifamilia.
Ukiongezea na huko Kayumba walimu wa kupatikana kwa manati au mwalimu mmoja wanafunzi 80 na wengine hawali chakula ni shida tupu.
 
Back
Top Bottom