MC7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 592
- 491
So far wataalamu wanataka kuachana na matumiz ya CHIP. unakua na namba inaitumia km unavotumia Email yko. so ugunduz n jambo moja. Kuendeleza ugunduz ni jambo la pili.kilicho andikwa hata akieleweki, mtoa mada upo. sas mtu anatengeneza simu ina fanya kaz bila cheap huo nao ni ugunduz ? nimejiuliza maswal mengi
mfano ukitaka upige simu kwa mtu yeyote kama wew mtoa maada, ntakupigia vip sas ? yaani namaanisha nin kitatuonganisha wew upo voda, mim from no mtandao inawezekanaje duu!!!
Inaweza kua n kitu cha zaman but materials,age,resources,academic knowldge matters.